Likizo kwa Higuain ni Mwanzo wa Uhamisho?

Juventus wanaripotiwa kuwa wamemuongezea likizo nyota Gonzalo Higuain kwa sababu binafsi. Taarifa zinaonya kuwa hii inawezekana kuwa ni hatua katika mpango wa kuondoka klabuni hapo.

Kwa mujibu wa chapisho la Tuttorsport, staa huyu ameongezewa mda wa siku tano zaidi wa kurejea klabuni hapo. Higuain anatarajiwa kurejea kutoka Argentina baada ya kuisha kwa mda alioongezewa.

Taarifa zinataja kuwa staa huyu amekawia kurejea Italia kwa sababu aliamua kuwa na mama yake ambaye anagua, na hakuwa anapenda kumuacha mama yake huyo peke yake. Huenda hii ikawa ni hatua moja kuelekea mpango wake wa kuondoka klabuni hapo.

Wachezaji wengine ambao waliamua kuondoka Italia, baada wakati kukiwa na masharti ya kusalia karantini tayari wamerejea. Juventus bado inamkosa pia Adrien Rabiot.

Wachezaji wote wanaorejea Italia wanatakiwa kukaa karantini kwa lazima kwa angalau wiki 2. Klabu bado hazijaanza mazoezi ya makundi kama timu, hivyo bado wachezaji wanaweza kufanya mazoezi wakiwa popote.

Ripoti zinasema Higuain, pamoja na mwenzake Rabiot wameiweka klabu katika sintofahamu kwakuwa hawakutarajiwa kama kufanya hivyo, hivyo suala hili linatarajiwa kuathiri hatma ya wachezaji hawa pale Juventus.

44 Komentara

    Popote kambi mazali kipaji anacho vizuri tu

    Jibu

    kwakua anakipaji hainashida

    Jibu

    Akufukuzae hakwambii toka, hii si sawa kabisa maana fundi kama higuain huwezi kumpa likizo kama hizo.

    Jibu

    co vzr kumuongezea likizo km hajaiomb labda km aliomba aongezewe

    Jibu

    Tatizo umri.lkn bado ni mchezaji nzuri.
    Ila kwa timu ndogo hatawasaidia

    Jibu

    Anakipaji kinzur sana anaweza hata akawasaidia timu ndogo ndogo

    Jibu

    Anakipaji atasaidia maana timu ni bado kiuwezo

    Jibu

    Duuuhhh hii Kali, kunani??!!

    Jibu

    kawaida kwa mchezaji kutoka tmu moja kwenda nyngne ilo ndio chaguo lake

    Jibu

    Duhhhh

    Jibu

    huku kazi huku familia

    Jibu

    kama manager hamtaki mchezaji ni bora kumuuza kuliko kumpa likizo zisizo na sababu, haiwezekani HIGUEIN kusugulishwa benchi na ubora alionao

    Jibu

    Yuko vizuri popote anafaa

    Jibu

    Yupo vizuri anajua kokote kambi

    Jibu

    Endapo kama hajaridhia mwenyewe sio poa

    Jibu

    Jamaa ni straiker mzuri ila umri nao Ndio hata kwenye maswala binafsi unamfanya wamuhishanishe na kuhamishwaa

    Jibu

    Sas likizo anabewa kakupenda ama ya lazima

    Jibu

    Ataenda Madrid bado ana kiwango kizur

    Jibu

    Ataenda yanga huyo.

    Jibu

    Maisha yapo sehemu yoyote ile ,kinatakiwa kiwango kiwe juu tu

    Jibu

    mmmh akufukuzae akwmbiii tooooka

    Jibu

    Uwezo kwa higuian umeisha na umr unamtupa mkono

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Kambi popote

    Jibu

    Bdo ni mchezaji mzur pamoja na kuwa umri Umesogea

    Jibu

    Bado yupo vizuri

    Jibu

    What is goin on with Higuain?

    Jibu

    Kuonewa kwake ndo kutengenezewa njia hivyo asife moyo

    Jibu

    Bado anauwezo mzuri

    Jibu

    Kuuguza ni jambo kubwa hivyo alisitahili kuongezwa siku za likizo

    Jibu

    Popote kambi ila anapoenda lazima kuwe na maslahi..

    Jibu

    Siyo vibaya Kumpa likizo

    Jibu

    Kazi na umri apumzike

    Jibu

    Duuuuh

    Jibu

    Ila kipaji cha mtu hakipoteii asiwe na wasiwasi japo waswahili wanasema akufukuzaye hakuambii toka

    Jibu

    anaweza kurudi kwenye club yake kuongezewa likizo sio sababau

    Jibu

    Huyu jamaa mpira umeshamshinda tayari cha msingi aende tu MLS au China akatafute pesa ligi za kiushindani pale ulaya haziwezi tena

    Jibu

    duuh akufukuzae akwmbiii tok

    Jibu

    Bado yupo vizuri

    Jibu

    Duh sio poa

    Jibu

    Kwahiyo kupewa likizo na kapata uhamisho kweli noma

    Jibu

    Ni vizuri kukaa likizo ili apumzike

    Jibu

    Kipaji anacho

    Jibu

    Nini kinaendelea??

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.