Luka Modric Amsikitikia Gareth Bale

NYOTA WA REAL MADRID, Luka Modric ameweka wazi kuwa anasikitika mafanikio ya aliyekuwa mwanatimu mwenzake Gareth Bale alipokuwa na klabu ya Real Madrid yalisahaulika kiasi cha kulazimisha kumuondoa kwa mkopo kwenda Tottenham.

Uhusiano kati ya Bale na Zidane ulishindwa kuimarika tangu awali meneja huyu alipoweka wazi kuwa Bale hayupo kwenye mioango yake. Msimu huu alisistiza zaidi kuwa Bale hayupo katika mipango ya kampeni yake ya msimu huu 2020-21,

Awali, Bale tayari alikuwa amejiandaa kukamilisha usajili na klabu moja ya china inayoshiriki Chinese Super League kwa mshahara wa £1m kwa wiki lakini dili lilikwama.

Gareth Bale
Gareth Bale Tottenham

Luka Modric, ambaye alishawi kuwa na Gareth Bale katika timu zote, Spurs na Real Madrid amebainisha kuwa Bale hakuwa na matatizo yeyote na wanatimu wenzake kikosini pale, alienda sawa na wachezaji wote.

Gareth Bale na Modric Spurs
Gareth Bale na Modric walishawahi kuwa Tottenham pamoja

Luka Modric

“Nimekuwa na Gareth karibu maisha yangu yote ya soka la kulipwa na ni mtu safi sana. Ana aibu, kama mimi. Wanchsema juu yake siyo sawa, wanaangalia zaidi alichofanya miaka hii, lakini alichowafanyia Real Madrid ni kikubwa na atakumbukwa wakati wote kama mchezaji aliyeifanyia klabu mambo mengi.”

Licha ya baadhi ya wafuasi wa Real Madrid kumgeuka Bale, ni matumaini ya Modric kuwa watakumbuka mchango wake pindi alipokuwa klabuni hapo na mafanikio ambayo klabu ilipata wakati alipokuwepo.


Weka Pesa kwa Airtel Money!

Sasa unaweza kuweka pesa moja kwa moja kwenye akunti yako ya Meridianbet kwa kutumia mtandao wa Airtel. Usipate wasi wasi, tunaifanya kazi kuwa rahisi zaidi!

Soma Zaidi

 

35 Komentara

    Luka Modric wacha maisha yaendelee

    Jibu

    Bale kitampata kitu mbona jamaa anasikitika sana au sehemu aliokwenda sii sahihi

    Jibu

    Luka Yuko poa

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Bale maamuz yake mwenyew

    Jibu

    Luka yupo sahihi

    Jibu

    Mmmh!! Mambo ya soka hayoo!!!

    Jibu

    Luka yupo sahii

    Jibu

    duh mbona hii kali sana

    Jibu

    Bale maamuzi yake mwenyew

    Jibu

    Bale anakipaji cha kucheza mpira vizuri see yy anamaamuzi wapi haende

    Jibu

    Duu bale hamue mamuzi yake yeye Kama yeye

    Jibu

    Luka yupo sawa kabisa

    Jibu

    Bale kuondoka hapo yupo sahihi

    Jibu

    Bale amekua akilipwa dau kubwa sana pale Real Madrid kwa ali ya uchumi hilivyoshuka naona ndio imekua sababu ya kushinwa maelewa na uwongozi wake

    Jibu

    🔥

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Luka yupo sahihi

    Jibu

    Inabidi wakumbuke fadhila

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Zidane amezingua sana juu ya Bale, kivuli cha Bale lazima kimuwinde Zidane

    Jibu

    Bale yupo sahihi

    Jibu

    Bale ni mchezaji mzuri sema majeruh yaimfanya awe nje kwa muda na kupelek kiwango kupungua

    Jibu

    Bale yupo vuzuri

    Jibu

    Wamuache tu madrid wenyewe walikua hawampi nafasi

    Jibu

    Goodupdate

    Jibu

    Yupo sahihi

    Jibu

    Namuunga mkono luka

    Jibu

    Bale mpira mguuni ila majeruh yanamkosesha uwezo uwanjan

    Jibu

    Wacha maisha yaendeleh kwny soka

    Jibu

    Mpenz mtamaj nipo

    Jibu

    Bale anakipaji cha kucheza mpira vizuri see yy anamaamuzi wapi haende

    Jibu

    Njia sahii yakumuonyesh nikufany vzur

    Jibu

    Thamani imekwisha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.