Man City: Kwenye Mazungumzo na River Plate Dhidi ya Alvarez

Klabu ya Man City ya nchini Uingereza wapo kwenye mazungumzo na klabu ya River Plate kwa ajiri ya kumsajiri mshambuliaji Julian Alvarez

Julian Alvarez kwa sasa anamkataba na klabu ya river plate ya nchini Argentina ambapo mkataba wake unaisha mwaka 2022 December, klabu ya Man City imekuwa ikimfuatilia kwa kipindi kirefu, Julian Alvarez mwenye miaka 21 tayari amecheza michezo mitano kwa timu ya taifa ya Argentina.

Man City

Pia Julian Alvarez ameichezea klabu ya River Plate michezo 96 huku akiwa amefunga magoli 36. Alvarez anaweze kuruhusi kuondoka kwa pauni 16.75million lakini River Plate hawana mpango wakumuachia mpaka majira ya kiangazi.

Mwaka 2018 Álvarez alichaguliwa kwenye timu ya Argentina chini ya miaka 20 kwenye mazoezi na timu ya wakubwa.


JIACHIE NA ALMIGHTY AZTEC

Ni muda wako kujiachia na mchezo maridhawa wa Almighty Aztec katika kasino bomba za meridianbettz. Nafasi ya kutengeneza mkwanja iko mikononi mwako kazi ni kwako.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

 

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.