Manchester City tayari wameanza kuweka sawa mpango wao juu ya kupata mrithi wa nafasi ya Leroy Sane klabuni hapo. Klabu hii tayari imeripotiwa kuwa imeanza mazungumzo na Bayer Liverkusen kumnasa winga ambaye pia anafukuziwa na Chelsea na Man United.
Sane alirejea rasmi dimbani kwenye mechi dhidi ya Arsenal, baada ya kukaa nje ya uwanjwa kwa takribani mwaka mzima kwa sababu ya jeraha la goti alilokuwa nalo. Hata hivyo, anaonekana kuwa hana mpango wa kusalia City kwa mda mrefu.

Meneja wa Manchester City, Guardiola aliweka wazi kuwa staa huyu hakukubali kusaini mkataba mpya kabla ya kupata jeraha. Na hata baada ya jeraha staa huyu hakusahawishika kuongeza mkataba.
Inakumbukwa City walikataa ofa ya £80m kutoka Bayern, msimu wa joto uliopita. Kwa sasa wanatarajia kupata dau dogo zaidi kama watamuuza.

Guardiola ametajwa kuwa anamfikiria Leon Bailey wa Bayer Liverkusen kuchukua nafasi ya Sane. Mchakato wa mazungumzo tayari umeanza. Na nyota huyu, raia wa Jamaica tayari ameshatajwa kuwa yupo tayari kuungana na Guardiola ikiwa dili litakamilika.


Tahiya
Ni mchezaji mzur wakifanikiwa kumpata
Khadija
Ni mchezaji mzuli wakifanikiwa kumpata#meridianbettz
Samiah
Nimchezaji mahiri
fatumakasomo
Yupo vizur
Omary lukumbi
Kwa sane kaona kua hana nafasi kubwa kwenye kikosi cha kwanza mara nyingi yeye hua anatokea sub tuu au hachez kabisa laona bora aende zake kule atakapo pata muda mzr wa kucheza mara kwa mara
Mwanaidi
Asante kwa makala meridian
mwakalosi
huyu leon bailey si alikuwa anacheza na samatta kule genk
Rehema Dickson
kwanza mara nyingi yeye hua anatokea sub tuu au hachez kabisa laona bora aende zake kule atakapo pata muda mzr wa kucheza mara kwa mara
Fatuma kasomo
Bora aende zake kule atapata muda mzur wakucheza
Mwanahamisi
Ni mchezaji mahili
Zeiyana
Bola tu mumsajili Leon bailey tayali kashakubali naimani man city itaendelea kutupa matokea mazuri haina haja ya kumbembeleza mtu tayali kashakataa
Emmy cleopa
Ahsante kwa makala #meridianbettz
Devotha
Leon Bailey ni mchezaji mzuri na ataziba vizuri nafasi ya sana nakikosi cha man city kitazidi kuwa bora
Ester mmakasa
Wazungumze nae tena anaweza kukubali kuongeza mkataba.
Rehema Dickson
naimani man city itaendelea kutupa matokea mazuri haina haja ya kumbembeleza mtu tayali kashakataa
felister
goods news
Genia Sikaluzwe
Ni fundi wa mpira
Lydia Emmanuel Magoti
Wakifanyikiwa kumpata itakuwa vizuri kwasababu huyo dogo anajua
Elika
Hapo ni makubaliano tu mbele ya pesa hakuna kinachoshindikana.wafanye juhudi zao naimani watampata tuu
Mariam mtandama
Habari mjema
Johnmary joel
Ni vizuri pia kueheshimu maamuzi yake kama hataki kuendelea wamuache#meridianbett
Caroline
Sema watammis sane
Dorophina
Ni bora ahamie kwingine akaendeleze kipaji chake sio kumuweka benchi mda mwingi
Samira
Sane yeye mwenyewe anaitaji kwenda club tofauti na man city ili aonyeshe kipaji chaje zaidi kuliko kuu bench tu
Aziza mushi
Sane ni mchezaji mzuri Sana wampambanie wampate
David Pere
Wanaye mbadala wake Ndio maana wamemuuza ,Na vilevile wajerumani huwa wanapenda wachezaji wao wazuri wote wakacheze baryen munich
Neema hassan
Mchezaji mahiri wapande dau kumpata..
Rehema
Sane mwenye kipaji chake
Sadick
Leroy Sane anataka timu itakayompa nafasi ya kucheza mara kwa mara na kufurahia soka sio mshahara. Anataka kufurahia soka#meridianbettz
Evaluziga
Ni mchezaji mzuri wakimpata
Sylvester
Sane bado yupo vizuri na atawasaidia ManCity lakini kwa kutafuta changamoto nyingine za maisha anaweza akaenda kwingine na nadhani Byern ndio wanamnyemelea kwa ukaribu
Njiku
Sane yupo vizuri sana katika kalia yake ya soka pia kubadili mazira ya kisoka kwa wachezaji jambo la kawaida sanaa tumeona mastaa kibao wakiama club kwa club pia guardiola kama atamnasa nyota huyo mwenye asili ya jamaca leon bailey atakuwa ameziba pengo la sane ila kama ataendana na mfumo wa man city kama alivyokuwa anapiga sana kwa upande wake
Kenani
Itakua poa sana
Magdalena
Kila la kheri city katika harakati za kimnasa kiungo uyo
Shafii
Hiyo ndo falsafa ya wachezaji wengi wa kijerumani hua wanapenda Sana wakacheze kwao
isha
Ni mchezaji ambae yuko pw
Christopher
Guardiola hakosagi plan B
Hamidu
Wapambane ili wampate maana chelsea & man utd wamezamilia kufanya usajili mkubwa#meridianbettz
Ester jackson
Safii sana sane bora uondoke wamezidi kukuweka bench kama wanakuweka hivyo kipaji chako kitaonekanaje nenda kungine ukapate nafasi ya kucheza sio kukaa bench hata kama unalipwa hela nzuri
Furahav
Habari nzuri.
Amani
nafasi ya kucheza mara kwa mara na kufurahia soka sio mshahara. Anataka kufurahia soka#meridianbettz
Theckla
Kama man City ikafanikiwa kumapata itakuwa wamepata mchezaji mzuri sana
Povel
Thnks kwa update
Neema
Ni mchezaji anayejikubali kwa ushindi wajitahidi wasimkosee huyo
Hope mwaikuka
Mchezaj namkubal
Sabrina
Maoni:wamuache akalisakate kabumbu mbele kwa mbele
Frank Patrick
Bailey amekuwa mchezaji wa tetesi sana naee
Amiri Kayera
Pale city naon ata akiondok mbadala yupo
Edgar
asante kwa taarifa
Ernest
Guardiola naona bado hana matumaini makubwa na Mahrez nahisi kutokana na style yake ya uchezaji hamuoni kama mtu wa kazi.
warda
Watapata tu hawajachelewa#Meridianbettz
Theonestina
Watampatatu wasikate tamaa
Gabriel
Nilijua sane hawez kuongeza mkataba maana wachezaji wengi wa kijeruman Wana tabia ya kumalizia ligi wakiwa nyumban na kuhusu mrithi wa sane upande wa Leon Bailey yuko vzur sana tumeshaona maajabu yake mengi akiwa Bayern liverkusen na mchango wake Kama kiungo mkashambuliaji na mkabaji iko poa sana hii
#meridianbettz
Salma
Kama man city wakimpata watakuwa wameokota dodo
Asia Abdy
Sane jeshi
Angelina
Bailey yuko vizuri