Manchester United ipo Tayari Kumuuza Bissaka

Manchester United ina mpango wa kupitisha fagio ndani ya klabu hiyo hivo itauza baadhi ya wachezaji ambao wanaona hawana nafasi ya kuendelea kuitumikia klabu hiyo wanawapiga bei kama Bissaka, Huku wengine wakiondoka kwa uhamisho huru.
Makala iliyopita
Hummels Aondoka DortmundMakala ijayo
Frimpong Aikataa Barca