Manuel Neuer, Thomas Muller Watundika Daluga Ujerumani

Makala iliyopita
Aston Villa Yamuongezea Mkataba MartinezMakala ijayo
Sterling Kutimka Chelsea
Magwiji hao wamefanya makubwa kwenye soka la Ujerumani kuanzia vilabu vyao mpaka timu ya taifa ya nchi hiyo hivo wanaondoka kama wachezaji wenye heshima kubwa kuwahi kuvaa jezi ya timu ya taifa ya Ujerumani kwa takribani miaka kumi ambayo wameitumikia timu hiyo.