Marcelo Bielsa Hana Haraka na Mkataba Mpya.

Kocha wa Leeds United, Marcelo Bielsa amesisitiza kutokuwa na haraka kuhusu maongezi ya mkataba mpya klabuni hapo.

Bielsa amekuwa akisaini mkataba wa miezi 12 kwa muda sasa na mkataba alionao, unamalizika mwishoni mwa msimu huu.

Inaaminika uongozi wa klabu ya Leeds, umefurahishwa na utendaji kazi wa Bielsa ambaye pia ameiwezesha timu hiyo kurejea kwenye EPL msimu huu. Tangu alipojiunga na klabu hiyo (2018), Bielsa ameendelea kuishi katika mfumo wake wa kujadili mkataba mpya baada ya kila msimu kumalizika.

“Sinatatizo na maisha ndani ya Uingereza. Kuwa na mkataba wa mwaka mmoja, haimaanishi siwezi kuendelea kuwepo hapa.” amesema Marcelo Bielsa.


MSHINDANI HUSHINDA BWANA!

Anayejaribu hawezi kutoka kapa Meridianbet! Kasino ya mtandaoni ya Meridianbet inakuhakikishia ushindi mkubwa kila unapojaribu kuingia mchezoni. Washindi hushindana, ingia mchezoni!

Fairy-in-Wonderland_Casino-Post_25-January

CHEZA SASA

16 Komentara

    Marcelo anajiamini ndiomaana hana papara

    Jibu

    Marcelo Yuko sahihi

    Jibu

    Ana uhakika na maisha

    Jibu

    Marcelo anajiamini sana

    Jibu

    Vizuri yupo sahii

    Jibu

    nampendaga Marcelo jamaniii

    Jibu

    Good

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Good

    Jibu

    Marcelo anajiamini ndiomaana hana

    Jibu

    Bilesa irudishe Leeds kwenye hadhi yake

    Jibu

    Anajiaminii sana

    Jibu

    Marcelo Bielsa alianza vizuri sana kwenye Epl lakini sasa dhahiri wachezaji wake wameonekana kuanza kuchoka

    Jibu

    Sawaaa

    Jibu

    Good

    Jibu

    Safi sana hana presha

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.