Matchday : Azam FC vs Simba SC

Klabu ya Simba SC leo itashuka katika Uwanja wa Azam Complex uliopo Chamazi jijini Dar es Salaam, saa moja usiku kuikabili Azam FC (Derby ya Mzizima) katika mchezo wa Ligi Kuu ya NBC.

Kabla ya mchezo wa leo Simba SC wamemekutana na Azam katika michezo miwili na yote wamefanikiwa kuibuka na ushindi. Katika mchezo wa mzunguko wa kwanza wa ligi uliopigwa Uwanja wa Benjamin Mkapa, Januari Mosi walliibuka na ushindi wa mabao 2-1.

 

Katika mchezo wa Fainali ya Kombe la Mapinduzi uliofanyika Uwanja wa Amani visiwani ZanzibarJanuari 13 wakaibuka na ushindi wa bao moja na kutwaa taji hilo.

Kocha wa Simba SC, Pablo Franco amesema mchezo utakuwa mgumu na anatarajia kupata upinzani mkubwa mkubwa kutoka kwa Azam lakini wapo tayari kuwakabili.

Pablo amesema wachezaji wapo katika hali nzuri morali ipo juu na kila mmoja amejitahidi kuonyesha jitihada mazoezini ili apewe nafasi leo.


TENGENEZA FAIDA NA ZEUS ANCIENT FORTUNES

Una Kila sababu ya kufurahia wiki yako na kutengeneza mwaka huu uwe wa faida zaidi katika kasino zetu za mtandaoni za meridianbettz. Mchezo wa Zeus Ancient Fortunes unakuongoza kutekeleza hilo.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.