Messi: Inter Miami Itakua Klabu Yangu ya Mwisho
Makala iliyopita
Tottenham na Ndombele Wafika Mwisho
Staa huyo wa zamani wa klabu ya Barcelona kwasasa yupo kwenye kambi ya timu ya taifa ya Argentina akijiandaa na michuano ya Copa America ambapo wao ndio mabingwa watetezi wa kombe hilo alisema hivi “Napenda kucheza mpira, nafurahi kila kitu zaidi kwa sababu najua kila mara kuna mengi zaidi yanayopungua”