Kuelekea kushushwa kwa pazia la dirisha la usajili, Arsenal wanatarajia kufanya mabadiliko katika safu yao ya ushambuliaji.
Kwa mujibu wa taarifa, Arteta anatarajia kuwapeleka makinda wake Emile Smith Rowe na Reiss Nelson vilabu vingine kwa mkopo huku wakihitaji kuongeza mchezaji angalau mmoja kwenye mafasi ya kati.
Arsenala wanatajwa kuwa wanavutiwa na Houssem Aouar, huenda akaingia kwenye kitabu cha Arteta, tayari kwa kuongeza radha kwenye safu yake ya katikati.
Thomas Partey pia anahusishwa na Arsenal kwa sasa, lakini hii inategemea namna Arteta anavyotaka kusawazisha kikosi chake na wale ambao wanaondoka.
Kuna mazungumzo yanaendelea juu ya Sead Kolasinac, ambaye anatarajia kwenda Bayer Leverkusen, huku Lucas Toreira akiwa anafanyiwa mchakato wa kwendaa Atletico Madrid.
Crystal Palace, Bunley na Brighton wanatajwa kuwa kwenye kinyang’anyiro cha kuiwinda saini ya Nelson ambaye alikuwa hataki kuondoka klabuni hapo, lakini sasa analazimika kuondoka kuepukana na mda mchache wa kucheza.
Beti kwa Kitochi Kushinda 300,000,000!
Unajua kuwa unaweza kushinda milioni mia tatu kwa buku tu? Ndiyo! Unaweza kushinda kwa kupiga *149*10# na kubashiri. Ingia mchezoni!
Amiri Kayera
Me naon washambuliaji wazur wanao ni muhim kuiandaa team vzur viungo wawalishe
Issa
Arsenal inashindwa kufanya usajil kwa washambuliaj wa kuleta ushindan hivyo kuwa timu isiyo na mafanikio
Sabrina
Arteta anatakiwa kujiamini na kikosi chake
Shani
Arteta asajil wachezaji wa kaz na wenye hali ya ushindan
Rehema
Safi
felister
muhimu kuiandaa timu vizuri tu
Samira
Arteta tayari anatimu nzuri ajitahidi kuboresha zaidi ili waweze kutimiza malengo waliojiwekea msimu huu
magdalena
arteta wachezaji wazuri anao tu ila ajitahidi kuwapanga katika nafasi zao vizuri
Dorophina
Arsenal anawachezaji wazuri tu sema anashindwa kupanga kikosi chake vizuri wakiwa uwanjani
Elika
Wafanye tu mabadiliko labda kikosi chao kitakuwa imara kuliko hivi sasa
Adelta
Arsenal inawachezaji wazuri tu Ila waimarishe vikosi vyao na wafanye juhudi ili waweze kushinda
farida ahmadi
Safi Sana
Angelina
Good update
Mwajumah
Muhimu kuiandaa timu vizuri tu
Fatina mfigi
Kam wanatak kushusha pazia sio mbay maan timu itakuwa imekamilik!!
Caroline
Naona Arsenal wananoa kikosi chao
Ester jackson
Waiandae timu ndio muhimu zaidi
Tatu
Arteta anataka kuibolesha arsenal kwa kuchukua vifaa vya nguvu
Lydia Emmanuel Magoti
Muhimu ni kuandaa timu vizuri ikae kwenye levo nzuri
Ernest
Arsenal inahitaji maboresho kidogo na kama watafeli kufanya hivyo basi hali itakuwa mbaya
Salma ngende
Waandae kikosi vizuri
aisha
Arsenal sasa iv hawataki kushindwa safari hii
Khadija
Safi
Saupha mohamed
Arsenal wajapange sana ili wapate matokeo maxuri
David Pere
Arsenal anawachezaji wazuri tu sema anashindwa kupanga kikosi chake vizuri wakiwa uwanjani
Sauda
Muhimu kujipanga.
Hopemwaikuka
Gud
Povel
Arteta super coach