Kiungo mshambuliaji wa Yanga, Bernard Morrison leo ameanza safari kuelekea Bukoba kuungana na wachezaji wenzake ambao wana mchezo wa Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, Julai 8.
Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa kwa kuwa Yanga ilipoteza mchezo wa kwanza uliochezwa Uwanja wa Uhuru, kwa kufungwa mabao 3-0, utapigwa Uwanja wa Kaitaba.
Jana, Julai 5 wakati Yanga ikilazimisha sare ya bila kufungana na Biashara United ilikosa huduma ya Morrison ambaye aliachwa Dar.
Kocha Mkuu wa Yanga, Luc Eymael alisema kuwa iwapo atamhitaji Morrison kwenye mchezo dhidi ya Kagera Sugar atawaambia viongozi wampeleke.
Kupitia ukurasa wake wa Istagram Morrison amewaambia mashabiki wake kuwa habari Bukoba, niambieni kile ambacho sijaskia.
Morrison amefunga jumla ya mabao matatu na kutoa pasi tatu ndani ya Ligi Kuu Bara.
Sadick
Drama za Morison hazileti afya ya soka letu. Kama mchezaji ana mkataba na timu ni lazima aheshimu hilo bila kubembelezana kama hili la Morrison#meridianbettz
isha
Morrisoni nenda kama angalau unaweza ukaleta mabadiliko kwa yanga maana hali sio nzuri kabisa
Salma
Nenda marrison ukatuletee mabadiliko
Revina
Pamoja na kuwafuata Yanga Bukoba ,Morrison anawachanganya sijui amegundua wanamuhitaji sana, maana yake kama timu zetu anazipima akili ila na timu zenyewe bado hawajielewi .
Omary lukumbi
Morison n mchezaj mzr sema sasa naona anapagawa na kelele na ushawishi wa timu pinzani ndio tabu ya wachezaji wa kigen wanapenda kusujudiwa wakiona timu kadhaa kubwa na vyombo.vya habar zikimzungumzia yeye ana jiona ndio mfalme inabidi waheshimu mikataba na sheria za club #meridianbet
Magdalena
Morrison anazingua sana na tatzo viongozi wake wanalea Sana Ayo mambo ndo maama heshima katika timu anakuwa Hana anafanya anavyotaka yeye
Theckla
Aende tu akaongeze nguvu Mana kwa yanga Hali si shwari
Lydia Emmanuel Magoti
Morrison anayumba Bado ajakielewa Nini anakifanya mchezaji anahejielea Hawez kukaa sehemu bila usajili izo no drama anatuchezea huyo
Angelina
Jembe limerejea sasa simba kazi mnayo
Njiku
Morrison yupo poa ila anahitaji matunzo pale yanga ili asiweze kutoka hapo yanga,jamaa anajua sana na hana mbadala pale yanga ndio maana analinga sana
Latifa juma mohamed
Morrison ni jembe, vema akienda huko inawwsekan yanga wakafanya vzr Zaid maan young African Hali c poa wananiboa tu wanapoanza kutangulia kwa magoli halafu wanaishia njian nenda baba okoa jahaz.
Issa
Morrison fundi sana anaipa yanga matokeo inapobidi
felister
safari njema Morrison
Issa
Morrison fundi sana anaipa yanga matokeo inapobidi ana mchango mkubwa
Edgar
Ni vizr coz ndo timu anayo itumikia kwa sasa.
Zeiyana
Ni habari njema kwa wanayanga Morrison ni mchezaji mzuri.
Neema juma
Afadhali aifuate atafanya jambo la maana sana.
Khadija
Habari njema kwa wanayanga#meridianbettz
Evaluziga
Nenda Morrison ukatulee mabadiliko
Ernest
Morrison habari zake bado ni zengwe tuu
Fatuma kasomo
Morrisn habari zake sizielewagi
Devotha
Morrison anatakiwa kuiheshimu timu sio kuleta drama tu acheze akitaka yeye
Rehema
Safari njema
Povel
Morrison habar nyngne wapinzan wajipange
Amiri Kayera
Saf San mchango wake unaitajik san
David Pere
Yani hapo ulw msemo hakuna mchezaji mkubwa zaidi ya timu umeaminiwa na morison mwenyewe kakubali yaishee
Furahav
Huyu morrison majanga matupu.
Shafii
Ni jambo zuri kwa wana yanga kuongeza nguvu kwenye kikosi kwani tunafahamu kua Morison ni mchezaji mzuri na mzoefu.
Franky
Mjini Kaitaba kutakua hakutoshi iyo july8
Sabrina
Maoni:Bora akaungane nao labda tutapata matokeo ya kuidhisha
Saupha mohamed
Nenda ukawasaidie haoo yanga
Leonard
Vizuri kwenda kuongeza nguvu
Mwajuma
Habari njema kwa sisi wapenzi wayanga
Frank Patrick
Non pro kitendo alichofanya kilikuwa cha ajabu sana
Flomena
Aende akafanye vizuri Sasa sio akalete dharau
Hilda
Nice
Fatuma kasomo
Morrisn habari zake sizielewagi
warda
Huyu nae anahangaika#Meridianbettz
Dorophina
Kwenye mechi iyo najua halitakosekana gori la morison lazima kieleweke
Ester jackson
Morrison ni mchezaji mzuri sana kwa timu ya yanga lakini kwa mchezaji huyu namuona kama anajitenga kutokana na ujuaji wake wa Mpira au vishawishi kutoka kwa timu pizani mana amejiweka nyuma sana kuacha na timu Mara nyingine hivyo sijui kwa sababu gani hili linatokea kwake tu na isiwe wengine kama ingekuwa kwa nchi nyingine angeshapigwa faini au kufungiwa kushiriki katika timu kadhaa.
Genia Sikaluzwe
Good 👍
Tahiya
Jamaa anazingua kwer sijui anajikuta nani vile
Mariam mtandama
Yote heri
Gabriel
Tunamkarbisha sana 👍 mwana mpotezo asijal YANGA tunamkarbisha vzur na tutamchinjia ng’ombe mnono
Theonestina
Hao watani zetu hawatutishi
Caroline
Habari njema
Samiah
Nikheri pia
Nasra
Jambo jema