Nyota wa Man United Nemanja Matic amesaini mkataba mpya kuendelea kusalia klabuni hapo. Mkataba wa sasa unamfanya aendelee kuweko klabuni hapo hadi mwaka 2023.
Staa huyu, ambaye ni raia wa Serbia alikuwa amesalia na mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa awali. Lakini Jumatatu hii, nyota huyu amemwaga wino kwenye masharti mapya ya mkataba baada ya kuonekana kufanya vyema pale Old Traford chini ya Ole Gunnar Solskjaer.
Matic ana umri wa miaka 31 sasa, na alijiunga na Man United akitokea Chelsea mwaka 2017. Mpaka sasa nyota huyu amecheza jumla ya mechi 114. Ana matarajio ya kucheza mechi nyingi zaidi chini ya Solsjaer.

Matic anasema anafurahia sana kuwepo United, na anafurahia zaidi kuona kuwa ataendelea kuwepo hapo kwa kipindi kingine tena kijacho.
“Nina furaha sana kuwa nitaendelea kuwa sehemu ya klabu hii, kama mchezaji bado nina mengi zaidi ya kufanya kwenye soka langu la kulipwa, na kufanya hivyo na Manchester United ni heshima kubwa.” -Nemanja Matic
Solskjaer anasema amefurahi sana staa huyu kusaini mkataba mpya, anaamini staa huyu atakuwa mfano kikosini. Hii ni kutokana na uzoefu wake katika soka la kulipwa.
Unajua kuwa Meridianbet wanatoa mizunguko 50 ya bure kwa mteja mpya? Jisajili sasa na ufurahie burudani na ushindi wa Kasino ya Mtandaoni.
Hongera sana nemanja matic kwa kuongeza mkataba mpya wa miaka 3 piga kazi kaka
Sio mbaya kwa Mchezaji kama huyu kumwacha ,ni habari njema kwa kikosi cha Man united
Hongera sana nemanja kwa kuongeza miaka#meridianbettz
Hongera sana matic kiungo mkabaji bwana usalama
Hongera Sana Nemanja kiungo mkabaji upo sahii
Habari njema
Hizi ni habari njema Sana kwa sisi mashabiki wa United
Gudnews kwa mashabiki wa man u
Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo O.T ni jambo zuri sana acha aendelee kukipiga nachini ya kocha wake nyota wa zamani wa Manchester United ole Gunnar
Gud newz kwa mashabiki wa man u ,tumefurahia uwepo wako
Matic united ni pamekuongezea ujuz hivyo kuongeza mkataba ni sahihi
Safi nemanj matic kwa kuendeleza kukipiga man u habari njema kwetu mashabiki
Hongera kwake
safi
Nyongeza ya miaka 3 kwa Matic mwenye miaka 31 ni kubwa mno. Katika umri huo wachezaji wengi hukabiliwa na majeraha ya mara kwa mara tena kwenye nafasi ya kiungo ya kutumia nguvu#meridianbettz
nakubali sana na pongez kwake kwa kuendelea kuitumikia man u.
Man u wamefanya jambo bora atawasaidia sehemu ya kiungo kwani bado yuki vizuri.
Ana jitihada sana akiwa uwanjani sio mbaya kuongezwa mkataba
Hongera kwako
Namkubal sna hongera yake
Pongezi kwako Nemanja
Habari njema
Matic amekuwa na msaada kwenye baadhi ya mechi ni Jambo zuri kwake
Hongera sana kwake
Hongera kwake
Uko vizuri matic,endelea kupambana.
Habari njema
Hongera kila kheri
Saf Sana anaonesh kiwango kizur san
Safi Sana atulize akili take acheze mpira timu iingie nne Bora wacheze UEFA
Kwenye timu unapohitaji kua mshindani ni lazima kikosi chako kiwe kipana na chenye kuhitaji aina Fulani ya mafanikio kwa walicho kifanya man u ni jambo zuri kwani matic atakua msaada hasa kwenye sehemu ya kiungo kwani bado yuko vizuri.
hina pemdeza sana ihii
Maoni:Nimeipenda hii ya kuongeza mkataba
Pngezi kwa kuongeza miaka 3 cmchezo
Safi sana
Safj kwa kuongeza miaka
Kuongeza miaka 3 kwa nemanja matic ni uwamuzi mzuri
Jambo zuri
Hongera kwao Manchester United
Unsung defencive midle faida kubwa kwa Man u hii
Good news
Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo
Maoni:hongera kwake
Hongera yake#Meridianbettz
Nemanja yupo sahihi kufanya huo uwamuzi bado anataka kulitumikia chama
Ni habari njema sana
Good news
Jambo sahihi kwake
Safi
Safi sana 👍
Habari njema kwa wapenzi wa man utd
Safi
Vizur Sana
Vizuri kazi kazi