Nemanja Matic Ameongeza Dili la Miaka 3

Nyota wa Man United Nemanja Matic amesaini mkataba mpya kuendelea kusalia klabuni hapo. Mkataba wa sasa unamfanya aendelee kuweko klabuni hapo hadi mwaka 2023.

Staa huyu, ambaye ni raia wa Serbia alikuwa amesalia na mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa awali. Lakini Jumatatu hii, nyota huyu amemwaga wino kwenye masharti mapya ya mkataba baada ya kuonekana kufanya vyema pale Old Traford chini ya Ole Gunnar Solskjaer.

Matic ana umri wa miaka 31 sasa, na alijiunga na Man United akitokea Chelsea mwaka 2017. Mpaka sasa nyota huyu amecheza jumla ya mechi 114. Ana matarajio ya kucheza mechi nyingi zaidi chini ya Solsjaer.

Nemanja Matic Ameongeza Dili la Miaka 3
Nemanja Matic

Matic anasema anafurahia sana kuwepo United, na anafurahia zaidi kuona kuwa ataendelea kuwepo hapo kwa kipindi kingine tena kijacho.

“Nina furaha sana kuwa nitaendelea kuwa sehemu ya klabu hii, kama mchezaji bado nina mengi zaidi ya kufanya kwenye soka langu la kulipwa, na kufanya hivyo na Manchester United ni heshima kubwa.” -Nemanja Matic

Solskjaer anasema amefurahi sana staa huyu kusaini mkataba mpya, anaamini staa huyu atakuwa mfano kikosini. Hii ni kutokana na uzoefu wake katika soka la kulipwa.

 


 

Unajua kuwa Meridianbet wanatoa mizunguko 50 ya bure kwa mteja mpya? Jisajili sasa na ufurahie burudani na ushindi wa Kasino ya Mtandaoni.

JISAJILI HAPA

Mizunguko ya Bure | Kasino ya Mtandaoni

 

54 Komentara

    Hongera sana nemanja matic kwa kuongeza mkataba mpya wa miaka 3 piga kazi kaka

    Jibu

    Sio mbaya kwa Mchezaji kama huyu kumwacha ,ni habari njema kwa kikosi cha Man united

    Jibu

    Hongera sana nemanja kwa kuongeza miaka#meridianbettz

    Jibu

    Hongera sana matic kiungo mkabaji bwana usalama

    Jibu

    Hongera Sana Nemanja kiungo mkabaji upo sahii

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Hizi ni habari njema Sana kwa sisi mashabiki wa United

    Jibu

    Gudnews kwa mashabiki wa man u

    Jibu

    Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo O.T ni jambo zuri sana acha aendelee kukipiga nachini ya kocha wake nyota wa zamani wa Manchester United ole Gunnar

    Jibu

    Gud newz kwa mashabiki wa man u ,tumefurahia uwepo wako

    Jibu

    Matic united ni pamekuongezea ujuz hivyo kuongeza mkataba ni sahihi

    Jibu

    Safi nemanj matic kwa kuendeleza kukipiga man u habari njema kwetu mashabiki

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    safi

    Jibu

    Nyongeza ya miaka 3 kwa Matic mwenye miaka 31 ni kubwa mno. Katika umri huo wachezaji wengi hukabiliwa na majeraha ya mara kwa mara tena kwenye nafasi ya kiungo ya kutumia nguvu#meridianbettz

    Jibu

    nakubali sana na pongez kwake kwa kuendelea kuitumikia man u.

    Jibu

    Man u wamefanya jambo bora atawasaidia sehemu ya kiungo kwani bado yuki vizuri.

    Jibu

    Ana jitihada sana akiwa uwanjani sio mbaya kuongezwa mkataba

    Jibu

    Hongera kwako

    Jibu

    Namkubal sna hongera yake

    Jibu

    Pongezi kwako Nemanja

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Matic amekuwa na msaada kwenye baadhi ya mechi ni Jambo zuri kwake

    Jibu

    Hongera sana kwake

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Uko vizuri matic,endelea kupambana.

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Hongera kila kheri

    Jibu

    Saf Sana anaonesh kiwango kizur san

    Jibu

    Safi Sana atulize akili take acheze mpira timu iingie nne Bora wacheze UEFA

    Jibu

    Kwenye timu unapohitaji kua mshindani ni lazima kikosi chako kiwe kipana na chenye kuhitaji aina Fulani ya mafanikio kwa walicho kifanya man u ni jambo zuri kwani matic atakua msaada hasa kwenye sehemu ya kiungo kwani bado yuko vizuri.

    Jibu

    hina pemdeza sana ihii

    Jibu

    Maoni:Nimeipenda hii ya kuongeza mkataba

    Jibu

    Pngezi kwa kuongeza miaka 3 cmchezo

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safj kwa kuongeza miaka

    Jibu

    Kuongeza miaka 3 kwa nemanja matic ni uwamuzi mzuri

    Jibu

    Jambo zuri

    Jibu

    Hongera kwao Manchester United

    Jibu

    Unsung defencive midle faida kubwa kwa Man u hii

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo

    Jibu

    Maoni:hongera kwake

    Jibu

    Hongera yake#Meridianbettz

    Jibu

    Nemanja yupo sahihi kufanya huo uwamuzi bado anataka kulitumikia chama

    Jibu

    Ni habari njema sana

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Jambo sahihi kwake

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safi sana 👍

    Jibu

    Habari njema kwa wapenzi wa man utd

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Vizur Sana

    Jibu

    Vizuri kazi kazi

    Jibu

Acha ujumbe