Nyota wa Man United Nemanja Matic amesaini mkataba mpya kuendelea kusalia klabuni hapo. Mkataba wa sasa unamfanya aendelee kuweko klabuni hapo hadi mwaka 2023.
Staa huyu, ambaye ni raia wa Serbia alikuwa amesalia na mwaka mmoja kwenye mkataba wake wa awali. Lakini Jumatatu hii, nyota huyu amemwaga wino kwenye masharti mapya ya mkataba baada ya kuonekana kufanya vyema pale Old Traford chini ya Ole Gunnar Solskjaer.
Matic ana umri wa miaka 31 sasa, na alijiunga na Man United akitokea Chelsea mwaka 2017. Mpaka sasa nyota huyu amecheza jumla ya mechi 114. Ana matarajio ya kucheza mechi nyingi zaidi chini ya Solsjaer.
![Nemanja Matic Ameongeza Dili la Miaka 3](https://meridianbetsport.co.tz/wp-content/uploads/2020/07/Matic-300x169.jpg)
Matic anasema anafurahia sana kuwepo United, na anafurahia zaidi kuona kuwa ataendelea kuwepo hapo kwa kipindi kingine tena kijacho.
“Nina furaha sana kuwa nitaendelea kuwa sehemu ya klabu hii, kama mchezaji bado nina mengi zaidi ya kufanya kwenye soka langu la kulipwa, na kufanya hivyo na Manchester United ni heshima kubwa.” -Nemanja Matic
Solskjaer anasema amefurahi sana staa huyu kusaini mkataba mpya, anaamini staa huyu atakuwa mfano kikosini. Hii ni kutokana na uzoefu wake katika soka la kulipwa.
Unajua kuwa Meridianbet wanatoa mizunguko 50 ya bure kwa mteja mpya? Jisajili sasa na ufurahie burudani na ushindi wa Kasino ya Mtandaoni.
isha
Hongera sana nemanja matic kwa kuongeza mkataba mpya wa miaka 3 piga kazi kaka
Revina
Sio mbaya kwa Mchezaji kama huyu kumwacha ,ni habari njema kwa kikosi cha Man united
Khadija
Hongera sana nemanja kwa kuongeza miaka#meridianbettz
Omary lukumbi
Hongera sana matic kiungo mkabaji bwana usalama
Lydia Emmanuel Magoti
Hongera Sana Nemanja kiungo mkabaji upo sahii
Theckla
Habari njema
Magdalena
Hizi ni habari njema Sana kwa sisi mashabiki wa United
Angelina
Gudnews kwa mashabiki wa man u
Njiku
Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo O.T ni jambo zuri sana acha aendelee kukipiga nachini ya kocha wake nyota wa zamani wa Manchester United ole Gunnar
Latifa juma mohamed
Gud newz kwa mashabiki wa man u ,tumefurahia uwepo wako
Issa
Matic united ni pamekuongezea ujuz hivyo kuongeza mkataba ni sahihi
farida ahmadi
Safi nemanj matic kwa kuendeleza kukipiga man u habari njema kwetu mashabiki
Tatu
Hongera kwake
felister
safi
Sadick
Nyongeza ya miaka 3 kwa Matic mwenye miaka 31 ni kubwa mno. Katika umri huo wachezaji wengi hukabiliwa na majeraha ya mara kwa mara tena kwenye nafasi ya kiungo ya kutumia nguvu#meridianbettz
Edgar
nakubali sana na pongez kwake kwa kuendelea kuitumikia man u.
Zeiyana
Man u wamefanya jambo bora atawasaidia sehemu ya kiungo kwani bado yuki vizuri.
Isaya massawe
Ana jitihada sana akiwa uwanjani sio mbaya kuongezwa mkataba
Hope mwaikuka
Hongera kwako
Fatina mfingi
Namkubal sna hongera yake
Neema juma
Pongezi kwako Nemanja
Evaluziga
Habari njema
Ernest
Matic amekuwa na msaada kwenye baadhi ya mechi ni Jambo zuri kwake
Devotha
Hongera sana kwake
Rehema
Hongera kwake
Furahav
Uko vizuri matic,endelea kupambana.
fatumakasom
Habari njema
Povel
Hongera kila kheri
Amiri Kayera
Saf Sana anaonesh kiwango kizur san
David Pere
Safi Sana atulize akili take acheze mpira timu iingie nne Bora wacheze UEFA
Shafii
Kwenye timu unapohitaji kua mshindani ni lazima kikosi chako kiwe kipana na chenye kuhitaji aina Fulani ya mafanikio kwa walicho kifanya man u ni jambo zuri kwani matic atakua msaada hasa kwenye sehemu ya kiungo kwani bado yuko vizuri.
Franky
hina pemdeza sana ihii
Sabrina
Maoni:Nimeipenda hii ya kuongeza mkataba
Samiah
Pngezi kwa kuongeza miaka 3 cmchezo
Nasra
Safi sana
Saupha mohamed
Safj kwa kuongeza miaka
Zuhura omary kindamba
Kuongeza miaka 3 kwa nemanja matic ni uwamuzi mzuri
Leonard
Jambo zuri
Mwajuma
Hongera kwao Manchester United
Frank Patrick
Unsung defencive midle faida kubwa kwa Man u hii
Flomena
Good news
Ester jackson
Matic yupo poa sana na anafanya vizuri sana kuongeza mkataba hapo
tumaini
Maoni:hongera kwake
warda
Hongera yake#Meridianbettz
Dorophina
Nemanja yupo sahihi kufanya huo uwamuzi bado anataka kulitumikia chama
Genia Sikaluzwe
Ni habari njema sana
Tahiya
Good news
Salma
Jambo sahihi kwake
Mariam mtandama
Safi
Gabriel
Safi sana 👍
neema hassan
Habari njema kwa wapenzi wa man utd
Hamidu
Safi
Theonestina
Vizur Sana
Caroline
Vizuri kazi kazi