Pellegrini Kocha Mpya Real Betis.

Pellegrini Manuel, aliyewahi kuwa kocha wa Real Madrid, Manchester City, na West ham ameteuliwa  rasmi Leo kuwa kukinoa kikosi cha Real Betis nchini Uhispania.

Pellegrini aliyewahi kuwa kocha wa Manchester City atachukua mikoba kuwa kocha mkuu msimu ujao kutoka kwa Rubi ambaye amefukuzwa wiki iliyopita.

Mchile huyo mwenye miaka 66, amekuwa bila timu toka alivoacha kuinoa West Ham ya nchi Uingereza Mwezi wa kumi na mbili mwaka jana. Amesaini mkataba wa miaka 3 kuwepo dimbani Benito Villamarin

Kutoka kwenye ukurasa wa Klabu hiyo wameandika “Real Betis wamemsajili Kocha Mchile Manuel Pellegrini kuongoza timu kuanziamsimu ujao.

Pellegrini Kocha Mpya Real Betis.

“Real Beatis wamechagua Kocha wa Kiwango kikubwa na mwenye heshima kubwa katika soka, kuweza kuinoa timu katika kipindi cha miaka 3.”

Pellegrini ameshinda Ligi kuu ya Uingereza 2014 akiwa na Manchester city,na vikombe vya Ligi (FA) mara 2. Pia amewahi kuifundisha Real Madrid na kuisha nafasi ya pili katika Ligi.

Vile vile amewahi kuvifundisha vilabu kama Villarreal na Malaga na kuviwezesha kucheza Ligi ya Mabigwa Barani Ulaya.

Betis inashika nafasi ya 13 katika Ligi kuu nchi Hispania, kocha wa muda Alex Trujillo ambaye aliiongoza timu hiyo kupata ushindi wa 3-0 mbele ya Osasuna ataendelea kukinoa kikosi hicho mpaka mwisho wa msimu.


      Jiunge Kasino za Mitandoni ufurahie Jackpoti Inayoendelea 

                                                       Bofya Hapa

51 Komentara

    Hongera

    Jibu

    Hongera yake duuu!Mana amekaa Mda sana#Meridianbettz

    Jibu

    Betis imelamba dume. Pellegrini Manuel ni Kocha mzuri ,kwa bahati mbaya miaka ya karibuni timu anazopewa anaishia kufukuzwa#meridianbettz

    Jibu

    Ni kocha mzur sana 👍

    Jibu

    Pellegrini ni kocha mzuri sana na naamini atafanya vizuri sana akiwa na betis

    Jibu

    Natumai hata Fanya vizuri kwenye club hiyo ya Real Betis

    Jibu

    Kalib team mpya

    Jibu

    Yupo vzr sana

    Jibu

    Kocha mzuri natumaini atafanya vizuri#meridianbettz

    Jibu

    Pellegrini ni kocha mzuri sana hongera sana betis kwa kupata kocha uyo

    Jibu

    Kila la kheri katika majukum mapya ya kazi

    Jibu

    Karibu team mpya

    Jibu

    Manuel pellegrini n kocha mzr na mwenye rekodi zake pale akiwa man city uengereza ameipa ubingwa man city kwa real betis wamekula bingo kwa mtaalam hyu

    Jibu

    Real Beatis wamechagua Kocha wa Kiwango kikubwa sana

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Kocha mahiri sana

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Kocha mzuri sana huyu

    Jibu

    Baada ya kukaa nje ya hispania kwa miaka kazaa Sasa amerudi kuwapa upinzani makocha wengine

    Jibu

    Kikubwa wawe makini wamepata kocha makini na mjuzi ambae anaelewa kile anachofanya

    Jibu

    Pellegrini Manuel ni Kocha mzuri ,kwa bahati mbaya miaka ya karibuni timu anazopewa anaishia kufukuzwa#meridianbettz

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Nikocha mzuri sana

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Nikocha mwenye ubora wake

    Jibu

    Real betis wamepata kocha wa kiwango fulani atawasaidia kuiongoza timu

    Jibu

    Hongera Sana pellegrin kwa kuchaguliwa na timu ya real betis kwani timu nzuri kikubwa ushirikiano baina yako na wachezaji

    Jibu

    Kocha nzuri sana anaweza kufanya mabadiliko hapo

    Jibu

    Kocha mzuri sana karibu kocha

    Jibu

    Real beats wamechagua kocha wa kiwango kikubwa na mwenye heshima kubwa katika soka tunategemea matokeo mazuri kutoka kwake pellegrin hana historia kubwa pale man city kila la kheri

    Jibu

    Kocha mzuri sana#meridianbettz

    Jibu

    Nikocha mzuri sana

    Jibu

    Betis wamechagua kocha mwenye kiwango kikubwa na heshima kubwa

    Jibu

    Huyo kocha mzuri sanaa

    Jibu

    Hongera kwake

    Jibu

    Betis mmepata mocha mashughuli msimvunje moyo

    Jibu

    Hongera

    Jibu

    Nice one,kocha mahiri sana

    Jibu

    nice

    Jibu

    Hongera yake

    Jibu

    Karibu Uhispania

    Jibu

    Ni kocha bora naamini atawafikiSha mbali betis.

    Jibu

    Kocha mzuri sana#Meridianbettz

    Jibu

    Maoni:Nakubali ni kocha mzuri hana kazi mbovu

    Jibu

    Ni deal zuri kwa Pellegrini

    Jibu

    Namkubali sana uyu kochaa

    Jibu

    Atafanya maajabu kweli

    Jibu

    ni kocha mzuri naamini real betis watafanya vizuri kupitia yeye

    Jibu

    All ze best coach

    Jibu

    Vile vile amewahi kuvifundisha vilabu kama Villarreal na Malaga na kuviwezesha kucheza Ligi ya Mabigwa Barani Ulaya.

    Jibu

    Gud news

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.