Klabu ya Tottenham Hotspurs wanatarajia kutemana na wachezaji wawili kuelekea msimu ujao. Kwa mujibu wa Jose Mourinho, Kyle Walker-Peters na Jan Vertonghen wanaweza kutokuwa na Spurs msimu ujao.
Walker-Peters kwa sasa anatumikia mkopo wake msimu huu, wakati Vertonghen akiwa na miezi kadhaa tu iliyosalia kwenye mkataba wake.
Walker-Peters ameanza kupata namba mara kwa mara pale Southampton wakati Mourinho akisema kuwa hataweza kumzuia ikiwa atataka kuondoka.
“Kama nia yake ni kutaka kupata mda mwingi wa kucheza na kuondoka sitaweza kumzuia” -Jose Mourinho akimzungumzia Walker-Peters.
Jan Vertonghen alikubali kuongeza mkataba wa mda mfupi hadi mwisho wa msimu huu, lakini ukiwa umesalia mda mchache kwenye mkataba wake mpaka sasa hatma yake haifahamiki.
Pengine huu unaweza kuwa ni mwisho wa Vertonghen baada ya kuwepoi kwa miaka 8 klabuni hapo. Lakini Mourinho anasema kuwa hadhani kama ataendelea kuwepo hadi msimu ujao, labda watahitaji kuona itakuwaje baadaye.
Unafurahia mchezo gani ambao ungependa ukulipe? Piga mkwanja hapa na Meridianbet
Omary lukumbi
José morihno huyu kocha kuna muda nashindwaga kumuelewa maana unaweza kumtoa mchezaj atakama ni mzr hua anafanya maamuzi muda mwingine inaikost timu ila kama wanaona wachezaj wenyewe hawaendani na mfumo wa morinho basi haina vudi kuondoka na kutafuta club nyingine
neema hassan
Asante kwa taarifa
Theckla
Aangalie isije ikaigharimu timu
Theonestina
Duuuh pengo kubwa Sana ilo
farida ahmadi
Kutakuwa na pengo kubwa San Tottenham dah lakin haina nouma
Njiku
Huyo ndio mourinho bwana anachota ndio anafanya acha tuonee kama italeta mafanikio kwa timu wakitoka hao wachezaji
Salma
Uwenda akawa sahihi kikosi kitanolewa kitakuwa sawa
Amiri Kayera
Asajir wengne
David Pere
Jamaa anazidi kuihalibu timu Kama kawaida take Yani inaonyesha huyu sio kocha kwa Sasa Bari ni muharibifu
Revina
Jose Mourinho huwa ni mtata sana ,kuna muda mwingine ufikiri ubabe ndo unaweza kupata matokeo mazuri kumbe sio ,lakini acha waende timu zingine ili kuongeza ujuzi na mbinu za kimichezo kwa wenyeji wao
Aziza mushi
Asanteni kwa taarifa.
Leonard
Alete majembe
Fatuma kasomo
Gud news
Hamidu
Jose kashaishiwa mbinu#meridianbettz
Mwanahamisi
Gud news
Dorophina
Jose nae mda mwingine km anavuta bangi mbona hao wachezaji wapo vizuri kwnn asiwaache tu
Genia Sikaluzwe
Alete watu wanaojituma
Tatu
Gud news
Khadija
Jose kashaishiwa swaga#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Duu noma Jose Mourinho inabidi ajipange upya ukupanga kikosi kiwe vizuri kunapengo linatakiwa kuzibwa sijui itakuwaje
warda
Acha Waende tu#Meridianbettz
Zeiyana
Subir tuangalie maamuzi yake yeye kama kocha hanategemea nini? Lakini kutakua na pengo kubwa pale Tottenham
Ester jackson
Huyo ndie Jose Mourinho akiamua lake hawezi kurudi nyuma hata kama itamletea shida ngoja tuone itakuwaje kama wakiondoka
Sylvester
Mourinyo ndio uondoke na wachezaji wengi watakukimbia kutokana na aina ya ufundishaji wako kwani wacheaji wengi wanahitaji kutwaa mataji na sio longo longo,abadilike na aina yake ya ufundishaji ili timu iwe imara kwani una wachezaji wazuri sanaaa
felister
ahsante kwa taarifa
Neema juma
Jose Mourinho bhana akiongea kitu ameongea duu
Mariam mtandama
Habari njema
Magdalena
Spurs watabaki na pengo kubwa sana
Latifa juma mohamed
So , Spurs mtabaki na pengo kubwa
lombo
habari njema
Rehema
Aisee pengo kubwa sana
Caroline
José Mourinho mbona hujiamini
Shafii
Mournho hiyo style ya kila uendako lazima ualibu timu kwa kuuza wachezaji tatizo nin hasa.
mwajuma
Acha waende zao tu#Meridianbettz
Sadick
Jan Vertonghen umri umeenda anaweza kuondoka lakini sio jambo la afya Club kuachia wachezaji vijana waondoke#meridianbettz
JULIANA
Asante kwataharifa
Gabriel
Ni habar ya kusikitisha sana ila kwa kufariji tukifatilia tetes za BBC news tunaona Hotspur Spurs huenda wakamsajili kwa mkopo Sessegnon msimu huu wa joto licha ya hofu kwamba nyota ya kiungo huyo mwenye umri wa miaka 20-inafifia chini ya ukufunzi wa Jose Mourinho kwa hiyo wanaweza kuziba pengo
Franky
Timu ime kuchoka we mzee kapunzike tu
Samiah
Kapumnzike mzee timu imekuchoka
Ernest
Ukweli Spurs inahitaji reformation-Timu imekufa sana yani adi imepoteza radha kwa mashabiki imekuwa sio ile Spurs tunayoifahamu sisi wazee wa soka.
Issa
Mourinho anaharibu kuwauza wachezaji wakati timu haijakaa vizuri
Saupha mohamed
Jamaa na maamuzi sana ila hua hafilii kwa kinaaa….tusubili tujioneee
Furahav
Morinho majanga tu.
Edgar
Pole sana Mournho
devotha
Jose tunaomba unapotoa mchezaji usajili wachezaji usiache pengo kwa spurs kwa itakugharimu
Hope mwaikuka
Duh
Flomena
Daaah Mourinho anaenda isambaratisha team. Yotee
Povel tz
Habar njema