Rangers Yarejea Ligi ya Mabingwa Ulaya.

Klabu ya Rangers ya nchini uskochi rasmi imerejea katika ligi ya mabingwa barani ulaya baada kuitupa nje klabu ya PSV Eindnhoven.

Klabu ya Rangers ambayo ni miongoni wa klabu zenye mafanikio makubwa hasa nchini uskochi ilikua ikikosa michuano ya ulaya kwa misimu kadhaa kitu ambacho kilikua sio kizuri wala cha kufurahisha kwa klabu hiyo kongwe.

Rangers wanafanikiwa kuwatoa klabu ya Psv Eindnhoven ya uholanzi mchezo huo ulikua unaelezwa kama ni vita ya waholanzi kwasababu ya walimu wanaovinoa vilabu hivo wote wametoka nchini uholanzi.

kocha wa Rangers Giovanni van Bronckhorst raia wa uholanzi gwiji huyo wa zamani vilabu vya Arsenal na Barcelona alikutana na raia mwingine wa kiholanzi kocha wa PSV Ruud van Nistelrooy gwiji huyo wa zamani wa vilabu vya Man United na Real Madrid alitupwa nje ya michuano na muholanzi mwenzie hi ndo sababu mechii ikaitwa vita ya waholanzi.

PS walitupwa nje ya michuano ya ulaya katika uwanja wao wa nyumbani  baada ya jana PSV kupoteza kwa goli moja kwa sifuri na matokeo ya jumla kua goli tatu kwa moja kwasababu mchezo wa kwanza uliisha kwa suluhu ya goli mbili kwa mbili Rangers wakiwa nyumbani.

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.