Rekodi kuelekea mchezo wa Chelsea dhidi ya Everton hii leo;
▶️ Kwenye michezo miwili mfululizo iliyopita ya Ligi Kuu Uingereza, Everton ikiwa nyumbani dhidi ya Chelsea, Everton imeshinda michezo yote huku rekodi kubwa kwa Everton kupata ushindi mfululizo ikiwa nyumbani dhidi ya Chelsea ilikuwa kati ya mwaka 2010 na 2012 ambapo Everton walishinda michezo mitatu.

▶️ Kwenye michezo 8 iliyopita ya Ligi Kuu Uingereza ikizikutanisha Chelsea dhidi ya Everton, Chelsea imecheza michezo 6 bila kuruhusu kufungwa goli uku kwenye michezo miwili iliyoruhusu Chelsea imepoteza michezo hiyo. Ushindi 4 na sare 2.
▶️ Michezo miwili iliyopita Everton ikiwa nyumbani, imepoteza yote, kocha Carlo Ancelotti mara ya mwisho kupoteza michezo mitatu mfululizo akiwa nyumbani ilikuwa mwaka 2006 akiwa na klabu ya AC Milan uku jwa Everton kupoteza michezo mitatu mfululizo wakiwa nyumbani ilikuwa mwaka 2016.

▶️ Kwenye michezo mitatu iliyopita ya ligi kuu Uingereza, Chelsea ikiwa ugenini, imecheza hiyo michezo bila kuruhusu kufungwa goli. Endapo ikicheza na mchezo wa leo bila kuruhusu goli itakuwa imefikia rekodi ya mwaka 2014 ilipocheza michezo minne mfululizo ikiwa ugenini bila kuruhusu goli.
▶️ Makocha ambao wamewai kuifundisha Chelsea kisha baadae wakaja kucheza dhidi ya klabu hiyo, wamepata ushindi kwenye michezo 5 kati ya 34 uku wakipoteza 21 na kutoa sare 8. Rafa Benitez akiwa na Newcastle alikuwa kocha wa mwisho kupata ushindi dhidi ya Chelsea mwaka 2018.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!



Dorophina
Chelsea sidhani kama watapindua mechi hii ya leo washakuwa wabovu
Ester jackson
Hahaha haaa kwel
Fatuma kasomo
Asante kwa taaarifa meridianbet
Magdalena
Chelsea wana kibarua kizito leo
Mwanahamisi
Gud news
Janeflora malisa
Safi
Ester jackson
Kwa mchezo wa Leo utakuwa nipige ni kupige na mwisho wa mchezo ndio tutaelewa nani mshindi
Adelta
Chelsea kazi ipo
Sadick
Mwisho wa siku Chelsea imepoteza mechi na wakati huohuo ili dominate mchezo
David Pere
Kwa mchezo wa Leo utakuwa nipige ni kupige na mwisho wa mchezo ndio tutaelewa nani mshindi
Sarah
Chelsea wajipange leo
Khadija
Chelsea wajipange
Lydia Emmanuel Magoti
Habari nzuri
Hopemwaikuka
Thanx for this
Caroline
Chelsea wamepoteza
Rahma
Chelsea Awana kitu
Issa
Everton walikua high
Tatu
Chelsea wana kazi nzito
warda
Everton walijitahid sana
aisha
Kazi ipo hapo