Meneja wa Barcelona Ronald Koeman anaripotiwa kuwa bado anamtaka nyota wa Liverpool, Georginio Wijnaldum pale Camp Nou.
Nyota huyu wa zamani wa Newcastle United yupo kwenye miezi yake ya mwisho ya kumaliza mkataba wake wa sasa pale Liverpool, na amekuwa akihusishwa kuondoka Anfield kuhamia Catalonia mwezi ujao.
Licha ya kuwa na sintofahamu juu ya hatma ya staa huyu, amekuwa sehemu muhimu sana ya kikosi cha Jurgen Klopp kwa mara nyingine msimu huu. Klabu inatajwa kuwa ipo kwenye mpango wa kusaini dili jingine na nyota huyu wa miaka 30.

Hata hivyo, kwa mujibu chapisho la Mundo Deportivo, Koeman bado anaitaka saini ya staa huyu ili aweze kuipa nguvu safu yake ya ushambuliaji. Nyota huyu bado anatawala mipango yake Koeman.
Wijnaldum anaweza kuanza mazungumzo na vilabu vya nje kuanzia mwezi Januari. Hata hivyo, kuna wasi wasi kuwa Barcelona wanaweza kushindwa kukamilisha dili hili kwa kuwa bado wanapambana na athari za Corona kiuchumi kwenye klabu hiyo.
MALIZA MWAKA KIBINGWA KWA KUJISHINDIA SHEA YAKO KWENYE SHILINGI 140,000,000TSH!!
Kipindi hiki cha sikukuu kinamalizika kwa namna ya kipekee. Shilingi 140,000,000 kushindaniwa katika michezo ya Evolution kwenye Kasino Mubashara ya Meridanbet. Ingia mchezoni na ujiwekee nafasi ya kushinda shea yako!!!



Janeflora malisa
Vzr
Ester jackson
Abaki tu Liverpool
Adelta
Ni Jambo zuri la yeye kubaki liver
David Pere
Wijnaldum anaweza kuanza mazungumzo na vilabu vya nje kuanzia mwezi Januari. Hata hivyo, kuna wasi wasi kuwa Barcelona wanaweza kushindwa kukamilisha dili hili kwa kuwa bado wanapambana na athari za Corona kiuchumi kwenye klabu hiyo.
Sadick
Georginio amakuwa muhimili kiungo Liverpool, haitakuwa rahisi kwa Barcelona kupata saini yake
Sarah
Nijambo jema abaki tu live
Khadija
Abaki tu livepool
Shakila mrope
Vizuri
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana abakii tuuu
Hopemwaikuka
Kaz kwake
Dorophina
Wijnaldum yupo vizuri anajua nini anafanya ila ni bora akabakia liverpool
Caroline
Gorginho ana mchango mkubwa Sana Liverpool
Issa
Liver kumachia huyu ni kaz
Tatu
Jambo zuri
warda
Ajitahidi atampata tu
Rahma
Vizuli
aisha
Klopp hawezi kumuacha