Ronaldo Akosa Penati, Juventus Watinga Fainali Kibishi

Mchezo wa nusu fainali ya pili ya Coppa Italia kati ya Juventus dhidi ya AC Milan umemalizika kwa sare ya bila kufungana (0-0).

Matokeo hayo yamewafanya Juventus wasonge mbele katika hatua inayoufuata, yaani fainali licha ya matokeo ya mechi ya nusu fainali ya kwanza ambapo walitoa sare pia lakini ya 1-1, hivyo basi Juventus amepita kwa faida ya goli la ugenini.

Hata hivyo Juventus wangemaliza kazi mapema katika dakika ya 16 tu ya mchezo ambapo Juventus walizawadiwa mkwaju wa penati mara baada ya VAR kuthibitisha kuwa mchezaji wa AC Milan aliunawa mpira katika eneo la hatari lakini Christiano Ronaldo aliyepewa jukumu la kupiga penati akakosa kwa kugongesha kwenye mambo.

Mchezo wa fainali utachezwa siku ya Jumatano na unatarajiwa kuwakutanisha Juve na mshindi wa mechi ya Napoli dhidi ya Inter Milan ambao utapigwa leo.

Gemu zingine kuelekea mwisho wa wiki

Kwingineko Hispania, Getafe wamekubali kipigo cha magoli mawili kwa kwa moja kutoka kwa Granada huku Levante wakimlazimisha Valencia kwa sare ya 1-1.

Ligi kuu ya Ujerumani, Bundesliga imeendelea kwa mchezo mmoja uliowakutanisha RB Leipzig dhidi ya Hoffenheim na RB Leipzig wamefanikiwa kushinda 2-0.

47 Komentara

    Hongera juve kutinga nusu fainal

    Jibu

    Juventus ndo bingwa wao!Ana mpinzani kwa Italy#meridianbettz

    Jibu

    Big up Juventus

    Jibu

    Bahati ipo kwao juve hongera yao

    Jibu

    Hongera sana juventus.kwa kufikia hatua hiyooo

    Jibu

    juve 💪💪💪

    Jibu

    Penalti haina mwenyewe

    Jibu

    Hongera sana juventus kwa kuipambania nafasi ya finally

    Jibu

    juventus kwa italia hana mpinzani sasa

    Jibu

    Juventus wamepambana kupata ubingwa huo haki yaho tuu kupamba nakuigombani nafasi hiyo

    Jibu

    Jana Milani walikaza sana ila sio mbaya#Meridianbettz

    Jibu

    habar njema kwa juve chama langu

    Jibu

    Juventus kwa sasa mko vizuri

    Jibu

    Safi sn juventus

    Jibu

    Hongera yao juventus

    Jibu

    Kweli mpira hauna mwenyewe popote la weza kutokea hongera juve#meridianbetz

    Jibu

    Hongera kwenu Juve

    Jibu

    CR7 ni hii? Kukaa miezi 3 bila mechi washambuliaji wanakuwa butu. Hongera Juventus#meridianbettz

    Jibu

    Jana gemu ilikuwa ngumu tena sana maana huku lukaku milan huku CR 7 juve mpira si wakitoto jaman gemu ilikuwa ngumu pande zote ila hongeren juve kwa kupigania finally big up

    Jibu

    Hongera zenu juve

    Jibu

    Hongera juve

    Jibu

    Hongera kwa juve

    Jibu

    Hongera sana juve kwani ww ndio bingwa wao##meridianbettz

    Jibu

    Juventus wako vizur sana

    Jibu

    Hongera kwa juve waendelee kukaza buti

    Jibu

    Hongera Sana kwa juve wakaze hivyo hivyo

    Jibu

    Juve pongezi kwenu ila msibweteke

    Jibu

    Juventus ndiyo bigwa

    Jibu

    Hongera juve kutinga nusubfainali

    Jibu

    mpira hauna mwenyewe popote la weza kutokea hongera Juventus

    Jibu

    Juve wanabahati sana.

    Jibu

    Hongera juventus

    Jibu

    Kuwa Star sio kila kitu unaweza mengine huwa unatakiwa uwaachie wengine

    Jibu

    Juventus Ana mpinzani kwa Italy#meridianbettz

    Jibu

    Jana gemu ilikuwa ngumu tena sana maana huku lukaku milan huku CR 7 juve mpira si wakitoto jaman gemu ilikuwa ngumu pande zote ila hongeren juve kwa kupigania finally big up

    Jibu

    💪💪

    Jibu

    Hongera Juventus🤝🤝

    Jibu

    Naimani juve watachukuwa kombe

    Jibu

    Hongera kwao

    Jibu

    Mara chache sana kuona huyu jamaa anakosa penalty, ila sio mbaya jwa sababu timu imefuzu to next round

    Jibu

    Wametinga fainali kibahati Sana mwaka huu

    Jibu

    Daah ni bahati yao

    Jibu

    Juve anastahili pongezi ila penati hainaga mwenyewe yeyote yule anaweza akakosa

    Jibu

    Juventus wanaeleweka Sana nawapa pongezi nyingi

    Jibu

    Hongera zao

    Jibu

    Juventus wapo vizuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.