Samatta Kukatawa Mshahara

CEO wa klabu ya Aston Villa, Christian Purslow amechukua hatua kusaidia klabu kulipa mshahara watumishi wake ambao sio wachezaji.
Aston Villa wametanganza Jumamosi kuwa wachezaji, makocha na viongozi wakubwa wamekubali kukatwa 25% ya mishahara kipindi hichi cha janga la Corona. Samatta ni Mtanzania anayechezea Aston Villa ya EPL, kama wamechezaji wamkubali kukatwa 25% ya mishahara inamaana Samatta naye atakatwa mshahara wake.

Baada ya michezo kusimamishwa tangu Machi, vilabu viltakiwa kuzingatia kuweka akiba kipindi hichi ligi imesimama ili kumudu gharama za uendeshaji.

Villa wamethibitisha kuwa wachezaji wamekubali kukatwa mshahara, na CEO amesema hatua hii “itawalinda watumishi wetu muhimu na familia zao.”

“Wachezaji, makocha na wakurugenzi wakuu wamekubali kukatwa 25% ya mshahara kwa miezi 4 kusaidia klabu kipindi hiki kigumu” Purslow said in a statement.

“Wachezaji wetu na watumishi wanajisikia furaha kuungana na vilabu vingine kwenye kiwanda cha soka ambao wana changamoto ya kiuchumi na sisi tunaamini ni sawa kwa  Premier League kama wote kuchukua hatua za kiuchumi ili kuweza kusaidia vilabu kipindi hiki.”

Kwenye suala la kuweka akiba, vilabu vingine vya Premier League vimeamua kutumia mfuko wakujikimu wa serkali ambao unaweza kusaidia kulipa mishahara hadi 80% ya mishahara ya wafanyakazi.

2 Komentara

    Noma ila kawaida tu.

    Jibu

    sawa ila na mkubaliano kayi ya viongozi wa club pamoja na wachezaji

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.