Uwanja maarufu wa San Siro ndani ya jiji la Milan, ambao unatumika na vilabu vya AC Milan na Inter Milan, unafikiriwa kubomolewa ili kuweza kupisha ujenzi wa uwanja mwingine, hii ni kutokana na kukubaliwa na mamlaka ya urithi ya Italia.
Suala hili bado lipo katika hatua za awali. Mwaka uliopita klabu hizi mbili zilituma maombi ya pamoja ya kujenga uwanja mpya ambao utachukua watazamaji 60,000 hapo hapo kwenye uwanja wa sasa.

Mamlaka inayohusika na mambo ya urithi Italia sio mwamuzi wa mwisho wa kuruhusu kuvunjwa kwa uwanja huu. Ndiyo maana swala hili linaendelea kutajwa kama “Uwezekano”.
San Siro ya sasa imepitia maboresho kadhaa, na ni mambo machache sana ya kale yamesalia kama sehemu ya zamani sana ya uwanja iliyobakia.
Wamiliki wa eneo hilo kwa ujumla wake ni Manispaa ya jiji la Milan, na kwa maoni yao hawajaona ulazima wa kutokubomoa uwanja huo wote.

Awali kuliripotiwa kukiwa na ubishani wa hapa na pale juu ya kuuvunja uwanja wote kabisa kutokana na kutofautiana kwa mitazamo kwa baadhi ya wadau. Baadhi ya wawakilishi wa jiji la San Siro, akiwepo Meya Giuseppe Sala wamekuwa wakihoji mpango wa kuvunja kabisa San Siro.
Lakini majadiliano yaliyoafikiwa na wengi ambayo ndiyo yanatarajiwa kufika mbali ni kuhusu kubadilisha kabisa uwanja huu na uwanja mwingine mpya.


Tahiya
Ni uwanja wa kihistoria kubwa nchini Italia kuvunjwa cyo jambo la busara
SADICK
Club nyingi Italy hutegemea viwanja vinavyomilikiwa na manispaa za miji, imefika mahala kila timu kuwa na uwanja wake. San siro ni uwanja wa kihistoria lakini ni muhimu kuendana na wakati na mahitaji ya wakati huo.
Abram
Daah hao jamaa wanapenda Kuchezea pesa kama vipi, wasiuvunje watuamishie jangwani na sisi Wa matopeni tujidai…..
😁😁😁😁
Emmy cleopa
Daaah!! Ni huwanja mnzur wakuchezea wakivunja inakuwa sio vizur kabisa
Gabriel
N vzur kufanya maboresho ya uwanja
Antony Luseno
Hii ni changamoto kwa timu husika ambayo uwa inautumia huu uwanja
David pere
Wanaboresha machinjio yao ili yawe na makali mpyaa
mwakalosi
huu uwanja una historia kubwa sana katika soka
Zeiyana iddi
Kila kitu kinasababu zake huwezi jua wanataka kumfanya uwe uwanja wa mfano wake..!ufanyiwe tu marekebisho sio mbaya
Evaluziga
Ni vizuri kufanya maboresho ya uwanja
Lombo
ni jambo zuri
Furahav
Itakuwa poa tu.
Mwanahamisi
Ni Jambo zuri
Rehema
Huu uwanja una historia kubwa kufunjika itakuw sio sahihi
Tatu
Dah sasa itakueaje na ligi zinataka kuaza
dorophina
Ni vizuri waboreshe ili ubebe watu wengi kwaajili ya kuwaongezea kipato
Magdalena
Sasa itakuwaje wakishabomoa na ligi ndo zinakaribia kupamba moto
Hope mwaikuka
Money talk jaman
Ester
Jambo zuri kujenga uwanja ila wange nunua eneo jingine ili wajenge na hilo jengo la kistoria watumie vizazi vingine
Amani
Itakuwa poa Sana kuupanua uwanja
Asia Abdy
Duuh uwanja mzuri hvyo
Salma
Ni Jambo nzuri
Povel
Gud news 👍
Neema juma
Maboreshoo ya uwanja ni muhimuu
Lydia Emmanuel Magoti
Nijambo zuri sana kuboresha uwanja
Theckla
Ni vizuri kufanya maboresho lkn kwa kipindi hiki ambapo ligi ndo zimerudi cjui inakuwaje japo
winfrida
mko vizuri sana hongeren
Mariam mtandama
Meridianbet #
muko vizur
frank patrick
Hawa nao wanatia Aibu team kubwa zinashindwa hata na AZAM kuwa na kiwanja
Hamidu
Safi habari kwa habari nzuri za michezo# meridianbettz
Kenani
Itakua Safi sana
Khadija
huo uwanja una historia kubwa sana kwenye soka#meridianbettz
Mwajuma
Ni jambo jema sema watapoteza kumbukumbu nyingi sana
aisha
Ni maamuzi mazuri ya kuboresha uwanja
Hidaya Mohammed
Mbona bado upo vizuri au ndio chezea pesa ikuzoee
Ester mmakasa
Duuh!kama unajengwa mwingine sio vibaya kwasababu ni kuboresha na si kuondolewa kabisa.
felister
ni vizuri waboreshe uwanja ili uweze kubeba mashabiki wengi
Ernest
Safi sanaa
Isaya massawe
Nivema wakavunja wakauweka kisasa zaidi
nasra
Vizuri sana
Samiah
Niviru wakavunja wakaweka kisasa zaidi
Rehema Dickson
Jambo zuri sana ilo sanaaaa
Agness
Nijambo jema
Mariam mtandama
Habari mjema
Elika
Ni jambo jema kuboresha uwanja wao
Issa
Ni vyema wauongeze uwe mkubwa na wenye kuingiza watu wengi
Ally mohamedi ally
Nijambo zur sana hili