Golikipa wa klabu ya Chelsea, Kepa Arrizabalaga yupo katika rada ya timu ya La Liga, Valencia kwa mujibu wa ripoti ya Sport.
Kepa Arrizabalaga Alicheza katika klabu ya Athletic Bilbao, alicheza michezo yake ya kwanza kwa mkopo katika klabu ya Ponferradina na Real Valladolid, katika Segunda División. Kisha akarudi kwenye klabu yake ya kwanza, akiendelea kuonekana katika mechi 54 katika mashindano yote; mwaka 2018, alijiunga na klabu ya Chelsea.
Licha ya kiwango kibovu mwishoni mwishoni kabla ya mpira ya miguu kusimama, anabaki kuwa golikipa ghali zaidi duniani baada ya The Blues kuilipa Athletic Bilbao Pauni milioni 71 ($86m) kuipata huduma yake mnamo 2018.
Kepa alikwazana na aliyekuwa mkufunzi wa zamani wa Chelsea, Maurizio Sarri katika msimu wake wa kwanza huko Stamford Bridge baada ya kukataa kubadilishwa, wakati Frank Lampard amempiga benchi katika mechi kadhaa akimpendelea Willy Caballero… Baada ya kiwango chake cha chini, Valencia imeandaa ofa ya kumsajili kipa huyo mwenye umri wa miaka 25.
SADICK
Kepa still a best goalkeeper #Meridianbettz
Gabriel
Good news 👍#meridianbettz
Antony Luseno
Asiende kokote abaki Stamford bridge
mwakalosi
kepa ni jeuri sana
David pere
Asikatae tamaa akaze tu atapata nafasi tu
Lombo
kisiki
Zeiyana iddi
Kipaji kinajiuza chenyew uwezi mtu ukakosoa kwa kosa moja husau mambo yake yote..!akuna kukata tamaa
Hope mwaikuka
Ukiwa vzur uhitaj kk
Aziza mushi
Habari njema👍
Magdalena
Goalkeeper akiwa mzuri lazima aliliwe na Kila mtu hongera sana kwake
Povel
Ni habar mbaya kwa mashabik na wapenzi wa Chelsea thanks meridian bet kwa bet kwa gud news
Asia Abdy
Golikipa hatar sana huyu
Theckla
Kizuri kinajiuza
Hamidu
Kipa nzuri Sana. Afanye chaguo sahihi
Kubaki au kuondoka!#meridianbettz
Theonestina
Asante kwa taarifa
frank patrick
Alipocheza Bilbao alikuwa golie mtamu sanaa ila alivyotua Stamford bridge kawa pazia tu wamuuze tu wabaki na kibabu upara wao
Kenani
Abaki tu
winfrida
kepa ni kipa mzuri sana
Furahav
Nenda kapambane.
Ester mmakasa
Tunashukuru kwa taarifa.
felister
kepa bado ni golikipa mzuri
Ernest
Hana haja ya kuondoka sasa sababu yeye ni namba 1 ndani ya club ya Chelsea.
Mariam mtandama
Abaki tu
Khadija
Abaki tuu#meridianbettz
Neema hassan
Asante kwa habari#meridianbet
Ester jackson
Namkubali sana haina haja ya kuondoka Chelsea
Shafii
Kepa ni kipa mzuri