Nyota wa Borussia Dortmund na timu ya taifa ya Uingereza, Jadon Sancho ameonesha hisia zake juu ya kifo cha mmarekani mweusi, George Floyd alieuawa na polisi nchini Marekani kwa kuonesha fulana iliyoandikwa ‘Justice for Floyd’ aliyovalia ndani ya jezi katika mchezo wao wakiwawabili Paderborn.
Hatua hiyo imetafsiriwa kama kuwaunga mkono mamia ya waandamaji katika miji mbalimbali nchini Marekani wanaoandamana ili kushinikiza haki itendeke juu ya tukio hilo lililotokea katika mji wa Minneapolis.
Nyota huyo wa kimataifa wa England, alionesha fulana hiyo bada ya kufunga katika yenye maandishi “Justice for George Floyd” baada ya kufunga goli moja katika ushindi wa magoli 6-1 waliyoshinda huku yeye pekee akifunga matatu katika hayo.
Magoli mengine ya Dortmund yalifungwa na Marcel Schmelzer na Achraf Hakimi ambaye nae alionesha fulana yenye maandishi sawa na ile ya Jadon Sancho, ‘Justice for George Floyd’. Hata hivyo tukio hilo lilipelekea muamuzi wa mchezo huo amzawadoe Sancho kadi ya njano!
Magoli hayo matatu ya Sancho yanamfanya Sancho kuwa amehusika katika magoli 33 (yote ya kufunga na assists) na kuwa mchezaji aliyehusika katika magoli mengi zaidi katika ligi zote kubwa Ulaya nyuma ya Robert Lewandowski.
Ushindi huo wa kishindo wa Borussia Dortmund ni majibu kwa kipigo cha goli moja kwa bila walichokubali kupokea kutoka kwa mabingwa Bayern Munich na unafanya wazidi kujikita katika nafasi ya pili ya msimamo wa ligi ‘Bundesliga’ wakiwa na alama zao 60 nyuma ya vinara Bayern Munich wenye jumla ya alama 67 kileleni katika msimamo.


Warda
Kafanya jambo jema sana
Theckla
Pole sana ila naamini haki itatendeka
felister
RIp George floyd
Ester mmakasa
Safi sana Sancho kwa kuiga mazuri ya George Floyd bila kificho na kuzidi kufanya vizuri uwanjani.
Juliana
Uwo ni ubinadam unaohitajika
Kwakila binadam Sancho yupo sahii kumuenzi
Pumzika kwa amani Floyd,
Tahiya
Ubaguz ni tatizo sana kwa nchi za wenzetu hasa wachezaji weus wanabaguliwa sana
Elika
Jadon amefanya jambo la maana.na lakiungwana.hakika Geogre hatosahaulika..r.i.p geogre
Salma
Rip Floyd
frank
Justice for Floyd
Antony Luseno
Tukio la mauaji ya mtu mweusi limesikitisha wengi mno kwa alichokifanya Sancho salute kwake
Asha
Polen Sana dah ubaguz watu weusi ng’ambo cjui hutaish ln thnks meridian bet tz
Mwanaidi
Daaa kifo chake kimewaumiza wengi sana
Hope mwaikuka
Mbele yake nyuma yetu
Rehema Dickson
jambo la maana.na lakiungwana.hakika Geogre hatosahaulika..r.i.p geogre
Rehema
Geogre hatosaulika R.I.P
aisha
Tunaomba haki itendeke
Neema hassan
R.I.P george floyd#meridianbettz
Lombo
Sancho ana moyo wa huruma ameonyesha kuguswa kwak
Agness
Tutakukumbuka daima George
Emmy cleopa
Rip George
Gabriel
Sancho solute # meridianbettz
David pere
Amefanya vizuri sanaa maana Hawa jamaa weupe wanatufanya sisis Kama hatina haki ya kuishi
Khadija
Kafanya jambo zuli sana#meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Kafanya jambo jema sana
winfrida
kuna binadam wana roho mbaya yani kuonyesha furana tu wana muuwa
Sadick
Amenikumbusha maneno ya Mario Balloteli’ why always me’ ! Ameonyesha hisia zake lkn kwenye mchezo wa soka hairuhusiwi#meridianbettz
Mariam mtandama
Duuuh
Mwajuma
Da kifo cha George kimemuuma kila mtu asiependa ubaguzi
Amani
Ushindi huo wa kishindo wa Borussia Dortmund ni majibu kwa kipigo cha goli moja kwa bila walichokubali kupokea kutoka kwa mabingwa Bayern Munich
Caroline
Ichi kifo kimeniuma jmn.Mungu atawalipa
Samiah
Jamani inasikitisha sanasa
mwakalosi
we are appreciate for what he done to our beloved Floyd
mathayo sonje
kama binadamu lazima uwe na hisia za kibinadam, alicho kifanya sancho ni jambo la kheli kwa kuonesha kwamba hajasapoti kilicho mkuta floyd
Hamidu
Sancho fundi wa Mpira..siku chache zijazo huyooo man utd #meridianbettz
Povel
Sancho ametukumbusha machungu ya mpendwa wetu thnks meridian bet tz
Shafii
Dah hatuwezi msahau George
Ernest
Hakika kwa wenzetu weupe bado hawajakaa kufikiria kuwa ata sisi watu weusi tunahaki ya kuishi na haki nyingine pia, ifike wakati watambue ata sisi ni kama wao, lucky Dube aliona mbali sana.
Magdalena
Sancho ni noma kafanya vizuri kumuenzi
Genia Sikaluzwe
Ameonyesha jinsi gani asivyopenda ubaguzi wa rangi.hongera
Evaluziga
Kafanya Jambo jema sana
Kenani
Dah inaumiza sana
Issa
Rip flloyd