Mwanakabumbu machachari sana Erling Haaland hakuwepo wakati Borussia Dortmund wanamvaa Paderborn kutokana na majeraha ya goti.
Meridianbet inaangalia vikosi vinavyotarajiwa kuwepo siku ya leo Jumatatu bbaada ya mechi za jana na juzi kuwa zimemalizika…
Mechi zote zinaanza saa 10.30 jioni isipokuwa pale inapotajwa tofauti na hivyo.
Jumatatu, Juni 1
Cologne vs. RB Leipzig (mechi inaanza saa: 3.30 usiku)
Cologne: Horn – Ehizibue, Mere, Leistner, Schmitz – Skhiri, Hector (c) – Kainz, Uth, Jakobs – Cordoba
Nje: Bornauw (amezuiwa)
Anayehofiwa: Hauptmann (nyonga), Risse (goti)
Kocha: Markus Gisdol
Leipzig: Gulacsi – Mukiele, Klostermann, Upamecano, Angelino – Sabitzer (c), Laimer – Nkunku, Olmo, Werner – Schick
Nje: Ampadu (mgongo), Halstenberg (amezuiwa), Konate (hamstring), Poulsen (kifundo cha mguu)
Anayehofiwa: Kampl (nyonga)
Kocha: Julian Nagelsmann
Andaa mkeka wako kwa mechi hizi na zingine nyingi zaidi.


winfrida
pole sana Erling
Rehema
Duu! Pole sn
Samiah
Daah! pole sana
Hope mwaikuka
Leo kimenukaa
Agness
Pole sana
Rehema Dickson
Atakosa uhondo ila sio mbaya akipona atawasha moto balaaa
Devotha
Leo mwendo wa kubeti
Salma
Dah! Sijui itakuwaje?
Neema hassan
Mungu amponye#meridianbettz
aisha
Pole sana Erling haaland
Theckla
Atakaa sawa tu
Adelta
Tumwombe mwenyezi mungu
Amponye ili arudi kwenye mchezo
David pere
Kolon anashinda maana hajapata ushindi muda mrefu Sana Sasa Ndio nafasi yao saaa
Ester mmakasa
Pole sana mwanakabunbu Erling kwa kutoshiriki mtanange huo wa kukatwa na shoka.
Elika
Lb lepiz leo ndani ya uwanja..laimer lazima atupie leo.japo goal mbili tuu
Mwanaidi
Atapona tu na atarudi mchezoni kama zamani
Tahiya
Ni wakat wa kuandaa mkeka no blue Monday tena
felister
pole mwenyezi mungu atakuafuu
Warda
Sawa Meridian #Meridianbettz
Antony Luseno
Cologne ana asilimia nyingi za kushinda
Asha
Halaand get well soon🙏🙏🙏🙏🙏🙏
Lombo
dah mambo mazur full 2+
Emmy cleopa
Daaaah polen sana.
Gabriel
Vikosi hatar sana
Khadija
Duuh pole yake#meridianbettz
Mwajuma
Akikosi cha RB Lizping kinatisha sana ushindi lazima
Lydia Emmanuel Magoti
Daah pole Sana itakaa sawa tuu
Mariam mtandama
Duuuh pole
Amani
Haaland hakuwepo wakati Borussia Dortmund wanamvaa Paderborn kutokana na majeraha ya goti#meridianbettz
Caroline
Apa ntapiga hela
Furahav
Huu ndo muda wa kupiga pesa.
mwakalosi
hii mechi nitaiwai kuicheki na kuibetia
Hamidu
RB Leipzig Ina timu nzur
Nategemee watapata leo ushindi#meridianbettz
Mwanahamisi
Mahela Kama yote
Povel
Ni habar njema kwa wazee wa jamvi na wapenda burudani ya kabumbu thnks meridian kwa update
Shafii
Duh nomaa Sanaa
Ernest
Bado Dortmund wanakikosi kipana kwa ajili ya kuwapa matokeo
dorophina
Leo lazima kitaeleweka tu
Hidaya Mohammed
Mechi sio za kukosa
Magdalena
Ni wakati wa kujipatia pesa nikibeti kwa meridianbet
Genia Sikaluzwe
Rb Leipzig inatisha kwani inakikosi kizuri
Ester jackson
Mungu atawasaidia atapona
Isaya massawe
Vikosi vimekaa vizuri
Kenani
Kaz kaz