Baada ya kumshusha leo mchezaji mpya Michael Sarpong, raia wa Ghana ili kuja kumalizana na Yanga kwa ajili ya msimu wa 2020/21. Uongozi wa Yanga umesema kuwa unafanya usajili makini kwa manufaa ya timu na wachezaji.
Leo Agosti 21, Sarpong ameshuka Dar kwa ajili ya kukamilisha usajili wake ndani ya Yanga na habari zinaeleza kuwa ni dili la miaka miwili.

Akizungumza na Ofisa Habari wa Yanga, Hassan Bumbuli amesema kuwa wana imani siku ya kilele cha wananchi Agosti 30 watakuwa na wachezaji wengi wazuri ambao watapambana kwa ajili ya msimu ujao.
“Tupo kwenye maboresho ya kikosi chetu ndio maana unaona usajili wetu tunaufanya kwa umakini mkubwa na kuweza kufanya mambo kwa usahihi imani yangu ni kwamba kila mmoja atafurahi kuona yale ambayo tunayafanya.
“Mashabiki wasiwe na mashaka waendelee kutupa sapoti na wiki ya Wananchi tunaanzia makao makuu ya nchi Dodoma kisha tutamaliza ndani ya Uwanja wa Mkapa, wote tupo tayari na tunapenda kufanya mambo mazuri,” amesema.
Sarpong amesema kuwa anafuraha kubwa kwa kuwa amepokewa na mashabiki kwa furaha jambo ambalo ni deni kwake.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


magdalena
yanga kwa usajili unaoendelea kama mkiwatumia vizuri wachezaji watawaletea manufaa makubwa sana katika timu vinginevyo mtaambulia patupu
Ernest
Yajayo yanafurahisha sana ndani ya VPL sema tuu yanga waache janja janja katika mikataba na mishahara ya wachezaji kwa ujumla
Adelta
Hapo kazi ipo ngoja tusubiri tuone
@meridianbettz
Caroline
Sarpong karibu Yanga chama la wajanja
Khadija
karibu yanga#meridianbettz
Mwanahamisi
Karibu yangu chama la kibabe#meridianbet
Dorophina
Usajili kwa yanga umepamba moto wakifeli tena msimu ujao watakuwa wamewaangusha mashabiki sana
Zeiyana
Hii ndio yanga mpya naona sa ishatoka kwenye wanachi sio kwa usajiri huu
Sauda
Karibu sana timu ya wajanja
Fatina mfingi
Karibu utupolo!! Timu ambayo aina maajab yoyote!!
felister
kwa usajili huu yanga msimu ujao tutegemee mambo mazuri zaidi
Shan
Penye nia pana njia ila kazi yanga bado mnayo!
Sadick
Kwa bahati mbaya Klabu zetu zinaona fahari kusajiri wachezaji wa kigeni jambo ambalo ni hatari ktk kukuza wachezaji wetu wa ndani. Mafanikio ya Timu ya Ujerumani yametokana na program ya kukuza wachezaji wao wa ndani#meridianbettz
Amiri Kayera
Tutamuona ligi ikianza
aisha
Hapo kuna kazi acha tusubili tuone nini kitatokea
Mwajumah
Karibu yanga#Meridianbettz
Tatu
Kwa msimu huu naona yanga mnatufokea
Nasra
Tunasubir tuone maajabu yake
Neema
Vizurii sana yangaaa
Sylvester
Sarpong ni mchezaji mwenye kaliba kama Benard Morrison hana tabia nzuri kabisa yani kila kilabu anayochezea basi anakua na mwisho mbayaa
Rehema
Karibu Sana chama isiyopenda sifa yanga Africa
Issa
Mmh msimu ujao itakua hatari vifaa kama hivi aah watasubir
JULIANA
Tusubiri kuona magalasa
Saupha mohamed
Vizuri yangu
Janeflora malisa
Upo vzr
Gabriel
Kiukwel ukianza kuangalia nchi Kama Ghana n nch ambayo vipaji vya pekee vinapatikana huko me ninamatumain ya Michael Sarpong maana ni bonge la mchezaji yuko vizur sana 👍
Hope mwaikuka
Haya kapambane
Povel
DEal done saprong is MWananchi
Devotha
Usajili mzuri
Shafii
Yanga ya msimu ujao itakua haishikiki.
Rose kapinga
Yanga mmefanya sajili za kutosha,tunataka kuona mabadiliko!!!
David Pere
Yajayo yanafurahisha sana ndani ya VPL sema tuu yanga waache janja janja katika mikataba na mishahara ya wachezaji kwa ujumla
Ester jackson
Imekaa powa sana tunasubiri faida ya usaji tu
farida ahmadi
Safi Sana
Samiah
Safi
Furahav
Safi
Sabrina
Daima Mbele nyuma mwiko
Latifa juma mohamed
Daima mbele nyuma mwiko usemi mkubwa wa dar young African kwa usahili matumaini makubwa kwa wanajangwani kufanya maajabu kwa misimu ijayo.
warda
Mmmmmm!!!!! Kazi wanayo wanavyohangaika