Antonio Conte amekuwa na shaka kama ataendelea kuwa kocha wa Inter Milan baada ya kushindwa kupata taji la Europa League kwa kucharazwa 3-2 na mabingwa wa mashindano hayo klabu ya Sevilla siku ya Ijumaa.
Romelu Lukaku alianza kuipatia goli la kuongoza Inter goli alililofunga kwa mkwaju wa penati kipindi cha kwanza kabla ya Luuk de Jong hajaiswazishia timu Sevilla kipindi hicho hicho cha kwanza.

Hii inamaanisha The Nerazzurri walikuwa wakijaribu kukamilisha msimu kwa kuwinda kombe hilo kama walivyofanya kwenye Serie A kwa kumaliza msimu wakiwa na matokeo mazuri na kuwa katika nafasi ya pili kwa tofauti ya alama 1 nyuma ya Juventus lakini bahati haikuwa kwao wamekosa ubingwa wa Ulaya wakiwa chini ya Conte.
Na kocha huyo wa zamani wa vilabu kama Chelsea, Juventus na timu ya taifa ya Italia amesema huenda asiendelee kuinoa timu hiyo.
“Tutakutana wiki ijayo na bodi ya klabu na kuamua juu ya mustakabali wangu. Sina uhakika kama nitakuwa kocha wa Inter msimu ujao, tutaamua kwa pamoja. Inter itapanga mipango yake ya siku zijazo… “
Antonio Conte na bodi ya Inter watakutana wiki ijayo kufanya uamuzi juu ya hatma yake na endapo atafungshiwa vilago klabuni hapo, kocha wa zamani wa Juve Massimiliano Allegri ndiye anayepewa nafasi kubwa ya kuwa meneja mpya wa Inter.
Drops and Wins!
Umeijua hii? Ni promosheni kabambe ya ushindi kwenye Casino ya mtandaoni ya Meridianbet! Unaweza kushinda hadi Euro 2,000,000 leo.


Caroline
Conte mbona ni kocha mzuri tu.kukosa taji la Europa isiwe sababu ya kumfukuza
Sadick
Kulikuwa na uvumi kabla ya fainali kwamba kama Inter haitashinda kombe lolote basi Conte angetimuliwa. Bodi inapaswa kumupa muda aweze kuonyesha makali yake#meridianbettz
Khadija
Maamuzi unayo wewe tuu kuendelea kubaki inter hau kusepa#meridianbettz
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Ernest
Inter wamepambana sana msimu huu lakini bahati haikuwa yao, ni wakati kwa uongozi wa Inter kuangalia tena swala la Conte
Sauda
Maamuzi anayo mwenyewe
Dorophina
Inter naona wanataka kutimiza ahadi yao ya kutaka kumfukuza Conte wamuangalie msimu ujao atafanya nn
Fatina mfingi
Sis mashabiki tunafata maaumiz yako maan we ndo muhusika
felister
ngoja tuone uamuzi wao watakapokutana iyo wiki ijayo tujue atma ya conte
Zeiyana
Me sioni uwezekano wa kuondoka kocha conte ni bola wangempa mda mwengine tu ukiangalia kuna mengi kayafanya kwenye clabu hiyo jitihada zake alizo fanya hadi kuipelekea kushiriki taji la Europa league ametuonesha kabic hana weza wangempa mda tu
magdalena
inter wasifanye maamuzi ya kukurupuka maana konte ana mchango mkubwa sana pale kapambana mpaka timu kufika fainal ingawa awajachukua ubingwa
Amiri Kayera
Muhim kujipanga msim ujao
aisha
Inter mpeni muda conte ili.afanye maujuzi yake mbona yuko vizuri
Mwajumah
Maamuzi anayo mwenyew#Meridianbettz
Shan
Mahamuzi ni yake kubaki kuondoka!
Tatu
Conte asifanye jambo kwa hasira wakae chini waangalie wapi walipokosea wajipange upya msimu ujao
Nasra
Akipewa muda atatoa maamuz mazuri
Sylvester
Bora uendelee kubaki Inter kwani umejitahidi kutengeneza kikosi kizuri chenye ushindani kwa sasa ingawa haikua nahati yako kutwaa Europa jana
Neema
Kuondokaa sio kuondoa tatizo abaki2
Lydia Emmanuel Magoti
Uwamuzi niwake kubaki hau kuondoka Conte kwa mm naona haendere tuu hapo hapo lnter
Rehema
Maamuzi anayo mwenyewe abaki au aondoke
Issa
Konte kuondoka inter ni mapema jenga timu ili msimu ujao utawale seria a
Saupha mohamed
Maamuzi ni yake
Janeflora malisa
Nice
Gabriel
Antonio Conte n kocha mzur sana nakubaliana mfumo wake Jambo la kushinda au kushindwa n matokeo ya kawaida sana na n matokeo ya bahati tu
Hope mwaikuka
Ww tu na maamuz yako
Povel
Maamuz ni yake kusalia au kubaki Milan
Devotha
Amua lililosahihi kwako
Shafii
Uwamuzi uko kwake conte kusepa au kusalia.
Rose kapinga
Wewe tuuu na roho yako!!!!
David Pere
Kulikuwa na uvumi kabla ya fainali kwamba kama Inter haitashinda kombe lolote basi Conte angetimuliwa. Bodi inapaswa kumupa muda aweze kuonyesha makali yake
Edgar
Kocha mzur tu
Ester jackson
Kwa uwezo alio kuwa nao kucha na kuifikisha mbali timu hiyo in bora angebaki bado anastahili kuitumikia kalbu hiyo conte hata kama walikosa ubigwa bana kunanafasi mbeleni kuwa bora zaidi
farida ahmadi
Maamuzi yake binafsi mwenyewe Conte to
Samiah
Kocha makini sanaaa
Furahav
Conte bado yuko vizuri.
Sabrina
Conte nie kocha mzuri tu asihofu kuondoka inter Bado anahitajika hapo inter milan
Latifa juma mohamed
Conte ni kocha mzuri hakupaswa kuchukua hasira mkononi baada ya kupata kipigo ni vema angeangalia wapi wamekosea.
warda
Conte nae anatamba sana ndo mana kafugwa