Ramos Kuendelea Kukaa Benchi PSG!

Sergio Ramos amerejea kwenye kikosi cha Paris Saint-Germain. Lakini hataweza kushiriki mechi ijayo.

Beki huyo wa zamani wa Real Madrid amekuwa na jeraha lililo mkwamisha msimu huu, ambayo kwa namna fulani ilichangia Los Blancos kubatilisha ofa yao ya kandarasi mpya msimu wa joto.

Staa huyu hakuweza kucheza mechi yake ya kwanza na PSG hadi wiki iliyopita, na hiyo ndiyo mechi pekee aliyocheichezea kwa klabu yake mpya hadi sasa.

Sergio Ramos
Sergio Ramos

Na sasa anadaiwa kuwa anenda kuikosa mechi ya PSG ya Ligue 1 dhidi ya Lens Jumamosi.

Ramos ana shida ya misuli, hii ni kwa mujibu wa kocha mkuu Mauricio Pochettino, na atakaa benchi kwa sababu hiyo.

Suala hilo linaeleweka kutokana na kurejea kwa majeruhi hivi karibuni na ukweli kwamba Ramos alicheza dakika 90 wikendi iliyopita inaweza kuchangia hali hiyo.


MUDA WA KUJIACHIA NA CARNAVAL JACKPOT

Mabingwa Meridianbet hawajawahi kukuacha mnyonge hasa katika kipindi hiki cha msimu wa sikukuu, kasino maridhawa ya Carnaval Jackpot inakupa thamani ya dau lako. Kuwa mmoja wa washindi leo hii.

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.