Simba Yatinga Hatua ya Makundi Shirikisho Kibabe
Makala iliyopita
Simba Kutafuta Tiketi Hatua ya Makundi
Makala ijayo
Bayer Leverkusen Washinda Jioooni
Wekundu wa Msimbazi walikwenda mapumziko wakiwa wanaongoza kwa mabao mawili kwa moja jambo ambalo liliwashusha presha klabu hiyo, Kwani kabla ya kusawazisha bao walionekana kua na presha kubwa kwani walikua wakihitaji ushindi kwa kiwango kikubwa katika mchezo huu.
Klabu ya Simba wanaendelea kudhihirisha ubora wao kwenye michuano mikubwa barani Afrika kwani ndani ya miaka sita wamefanikiwa kwenda hatua ya makundi barani Afrika mara tano, Shirikisho mara mbili huku ligi ya mabingwa mara tatu hii inakupa picha kua klabu hiyo imeweka viwango kwenye soka la Afrika.