Nyota Stephan El Shaarawy anathibitisha kuwa atasalia Roma akiendelea kujiboresha wakati anasubiri klabu mpya kumsajili mnamo Januari.
Mshambuliaji huyo amekamilisha jukumu la kimataifa na Italia, lakinib bado yupo Serie A kutoka Shanghai Shenhua.
“Nimetumia zaidi ya miezi miwili huko Roma nikifanya mazoezi bila timu kutokana na janga hilo, kwani sikuweza kurudi China,” -alichapisha katika ukurasa wake wa Instagram

“Nilibahatika kufanya kazi na watu wawili maalum kama Claudio Donatelli na Marco Ferrelli, ambao ninawashukuru sana, kwani waliniruhusu kuendelea kudumisha kiwango changu.”
Nyota huyu ambaye alitarajiwa kuwa angeenda China, alilazimika kusalia Italia. Anatarajia sasa dirisha la mwezi Januari linaweza kumpa nafasi ya kusalia Serie A ikiwa atasajiliwa na klabu yeyote.
Amekuwa akifanya mazoezi na klabu ya Roma, lakini anaamini kujitolea na kufanya bidii kutampa fursa mpya na kurekebisha yale ambayo hayakwenda sawa.
Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.



Angelina
Nice update
Shakila mrope
Good New
Adelta
Good 👍
zeiyana
Ni kweli hata hapo roma ni sehemu sahiii yakulijenga soka lako kama utaimalika vizuri hutakua kuna uwepesi hata kwa mwajili wako na kujitengezea soko lako vizuri
magdalena
hizi ni habari njema kwa mashabiki wa roma
Fatina mfingi
Mbon hata Roma bado Ni sehemu sahii kwako!!
Sauda
Safi sana
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri Sana kila la kheri kwake
Caroline
Sawa
Povel
Habar njeMa kwa mashabik wa roma
Hopemwaikuka
Fresh tu
aisha
Imekaa powa sana
Saupha mohamed
IPO safi
Ester jackson
Good
Elika
Sawa sawa
Sania
Vizur
Tatu
Safi
warda
Popote aende tu