Telles Akutwa na Maambukizi ya COVID19

Pengine ni wengi walijiuliza kwanini Alex Telles hakuepo kwenye kikosi cha Man United dhidi ya RB Leipzig. Taarifa rasmi zimeripoti maambukizi ya COVID19.

Alex Telles alijiunga na Man United dirisha la usajili la majira ya kiangazi na ameitumikia United katika mchezo mmoja wa Ligi ya Mabingwa (dhidi ya PSG).

Alex hakuwepo kwenye kikosi kilichocheza na RB Leipzig na taarifa rasmi ilitolewa na kocha Ole Gunnar Solskjaer.

“Telles amepata maambukizi ya COVID19 na atakuwa nje ya uwanja kwa muda. Hakuwa na dalili zozote, hivyo yupo sawa na atarejea muda si mrefu.” alisema Solskjaer akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari.

Man United wanaongoza kundi H wakiwa na pointi 6 lakini wapo nafasi ya 15 kwenye msimamo wa EPL. Jumapili hii watawakaribisha Arsenal katika dimba la Old Trafford.


TSH.160,000,000 KUSHINDANIWA!

Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.

Kamata Mkwanja wako HAPA

19 Komentara

    Corona imekua tishio kwa wachezaji wengi pole sana telles kwa kuugua

    Jibu

    Duuh pole yake

    Jibu

    Dah pole sana..Mungu yupo hakika atapona

    Jibu

    Corona inaendelea kuwa tishio

    Jibu

    Huu Ugojwa jamani Sio Poa

    Jibu

    Mkosi mwingine kwa Man U huu

    Jibu

    Ugonjwa huo sasa ushakuwa tishio kwa wachezaji

    Jibu

    korona hatari sana

    Jibu

    Hili gojwa sio poa kabisa mwenyezi mungu atuepushiye

    Jibu

    Pole yake

    Jibu

    Daa pole yake

    Jibu

    Aendelee kuchukua tahadhari ili asiambukize wengineee

    Jibu

    Corona sio poa kabisa

    Jibu

    Pole sana

    Jibu

    Inabid timu ipate uangaliz zaid ili kupunguza kuenea zaid

    Jibu

    Get well soon

    Jibu

    Duuh corona nomaa sana

    Jibu

    Poa yake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.