Waswahili husema ‘mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni’. Hiki ndio kinachoendelea kunako timu ya PSG kutokana na baadhi ya watu kuichukulia poa timu hiyo.
Kumekuwa na maneno mengi kuhusu timu ya Thomas Tuchel, wengi wakisema inaonekana ni timu kubwa kutokana na ligi inayoshiriki kuwa ni ligi nyepesi.
Hiki ni kitu ambacho Tuchel ameamua kukitolea uvivu na kuvunja ukimya kwa watu wanaoisema vibaya PSG.
“Sawa, tunaweza kuendelea kuliongelea hili na mkasema ni jukumu langu. Hakuna shida, mtanisema sana na sina tatizo na hilo lakini tuangalie uhalisia.
“Kule Italia, Juventus ni ya kwanza kwenye ligi? Hapana. Uingereza, ni Liverpool au Manchester City? Hapana.
“Uhispania, ni Barcelona au Real Madrid? Hapana. Sisi ni wakwanza kwenye Ligue 1 na kila mtu anaendelea kusema ooh ni PSG, kwao ni rahisi.
“Lakini sio rahisi! Nadhani watu wanapaswa kukubaliana na uhalisia kwamba uwezo ndio kitu pekee kitakuweka kwenye nafasi ya kwanza kwenye ligi yoyote.”
Tunazungumzia mkwanja wa Tshs.160,000,000! Kupitia Kasino ya Mtandaonii ya Meridianbet unaweza kuwa milionea wakati wowote.



Sabrina
Tuchel huwa ataki ujinga
Elika
Tuchel yuko sahihi
warda
Tuchel Huwa yupo Makini sana
Fatina mfigi
Bora avunje ukimy kwa maslai ya timu na muonge ukweli mpenz wang
Dorophina
PSG kwa sasa ipo vizuri sana tuchel anaiongoza vizuri
Ernest
Safi sana Tuchel
Adelta
Very good Tuchel👊👊
zeiyana
juudi zake tuchel ndio zinazo fanya dadi mechi kuwa kwenye ubora
Khadija
Asante kwa taarifa
Sauda
Ebwana ndiyo.
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri atakagi masiara kwenye kaz yake
Carolyn
Safi sana Tuchel .usikubali watu waichukulie poa P.S.G
Mwajumah
Tuchel yupo sahihi
Hopemwaikuka
Bora
Issa
Psg ni wafalme wa ufaransa tu hawana soka la ushindan zaid
Povel
Tuchel bonge la kocha
Saupha mohamed
Kocha jembe
Fatuma kasomo
Asantekwa taarifa meridianbet