Australian Open Kuendelea Kama Ilivyopangwa.

Baada ya kutokea hali ya sintofahamu katika kambi ya wachezaji wanaoshiriki Australian Open 2021, kiongozi wa mashindano hayo anaamini yataendelea kama yalivyopangwa.

Siku ya jumatano, takribani watu 507 walipewa amri ya kujitenga kutoka kwa maofisa wa afya ya jiji la Melbourne, hii ikiwa ni baada ya mfanyakazi mmoja wa hoteli kupatikana na maambukizi ya COVID19.

Sambamba na kujitenga, pia vipindi vya mazoezi pamoja na tukio la kupanga michezo kwa siku ya Alhamisi, vilighairishwa na sasa vitafanyika Ijumaa.

“Tunategemea kuendelea na ratiba ya awali kuanzia leo” alisema Tiley.

Mechi za wanawake zitachezwa kwa seti 2 pekee huku kwa upande wa wanaume michezo yote itaendelea kwa seti 3 kama ilivyokuwa imepangwa awali.

Zoezi la kupanga mechi za Australian Open 2021, litafanyika Ijumaa .


TENGENEZA FAIDA KUPITIA KASINO YA MERIDIANBET

Neptune’s Richies ni mchezo Unaokupa pesa chap chap huku ukiwa unaburudika kupitia Kasino ya Mtandaoni ndani ya Meridianbet.

Neptune's-Riches_Casino-Post_30-January

Cheza hapa

16 Komentara

    Safi sana

    Jibu

    Habari njema hizi kwa mashabiki

    Jibu

    Sawa

    Jibu

    corona Sasa ni shida

    Jibu

    Safiiii

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Vizuri sana

    Jibu

    Hii inapendeza

    Jibu

    Safi sana

    Jibu

    Safi

    Jibu

    Safiii

    Jibu

    Good good

    Jibu

    Tumuone Murray tena

    Jibu

    Nc

    Jibu

    Safii

    Jibu

    safi sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.