Serena Williams akiwa katika mchakato wa kulisaka taji la 24 la Grand Slams, ameibuka kidedea kwenye mchezo wa Australian Open.
Williams alitumia dakika 56 kumuangamiza mpinzani wake, Laura Siegemund katika mchezo uliohudhuriwa na mashabiki wachache pale Rod Laver Arena.
Serena aliibuka na ushindi wa seti 6-1 6-1 dhidi ya Laura ambaye ni raia wa Ujerumani.

Upande wa pili, bingwa wa US Open 2020, Naomi Osaka alimfunga Anastasia Pavlyuchenkova kwa seti 6-1 6-2 katika mchezo wa kwanza wa mashindano hayo.
Kwa matokeo haya, Osaka atachuana na Caroline Garcia wakati ambapo Venus Williams atachuana na Sara Errani baada ya kumfunga Kirsten Flipkens kwa seti 7-5 6-2 katika mchezo wa kwanza wa Australian Open.
Unaweza kuvuna mkwanja mrefu kadiri uwezavyo kupitia mchezo wa Gold n Rocks kwenye kasino ya mtandaoni ya Meridianbet. Ni rahisi! Vigezo na masharti, kuzingatiwa.



warda
Nilijua tu Serena hajawahi kosea kwenye kipengele chake
Ernest Kimeru
Mambo ni moto
Magdalena
Serena anatakiwa apambane Sana ili aweze kunyakua ubingwa msimu huu
Khadija
Mambo fire
Dorophina
Pongezi kwake serena
Venerose
Safi sana Serena
Rahma
Nice
Hopemwaikuka
Nakubalii
Angelina
Nice
Mwanahamisi
Mambo mazuri
Sania
Serena bado yupo fit
lombo
habar njema
Sarah
Habari njema
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana