Mashindano ya Italian Open yanaendelea kwa kasi. Magwiji, Novak Djokovic na Rafael Nadal wanaendelea kuonesha umwamba wao kunako mchezo wa tenesi.
Katika mchezo uliochukua masaa mawili. Djokovic alionesha ubora wake dhidi ya Filip Krajinovic na kumburuza kwa seti 7-6 6-3. Matokeo haya yanamfanya Djokovic kufuzu hatua ya robo fainali kwa miaka 14 mfululizo.
Italian Open inakuwa ni michuano ya kwanza kwa Djokovic kushiriki baada ya kuondolewa kwenye Mashindano ya US Open 2020 kwa kosa la kumpiga mwamuzi.
Bingwa mtetezi – Rafael Nadal, amemfunga Dusan Lajovic kwa seti 6-1 6-3 na kutinga hatua ya robo fainali.
Sasa Djokovic atacheza na Dominik Koepfer katika robo fainali ya mashindano haya. 2019, Djokovic alipoteza mchezo wa fainali dhidi ya Nadal, mwaka huu Nadal atakuwa akiutafuta ushindi wake wa 10 kwenye mashindano haya.
“Nadhani nimecheza katika kiwango kikubwa cha tenesi. Bado ninahitaji kuboresha zaidi. Ninatakiwa kufanyia kazi baadhi ya vitu ambavyo havitokei tu vyenyewe lakini pia siwezi kulaumu sana. Ni bora kuliko nilivyotarajia.” amesema Nadal.
Nadal atachuana na Diego Schwartzman katika mchezo wa robo fainali.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Sauda
Hawa jamaa ni mafundi..
Rehema
Bonge la makala
Elika
Wote ni wakali kwenye mchezo wa tenis
Ernest
Djokovic na Nadal naona wanataka kurufisha heshima yao baada ya changamoto kutoka kwa vijana kwenye mashindano ya USA Open
Antony Luseno
Nadal naona akichukua Italian open
Shani
Ni mchuano mkali ila Nadal atawagaragaza kama kawaida
magdalena
mambo yanazidi kuwa mazuri zaidi
Mwajumah
Duuh kazi itakuwepo apo maana mchuano utakua mkali#Meridianbettz
Hopemwaikuka
Nawakubal sanaa hao watu
Hidaya
Wote ni wakali
Zeiyana
Huu mchuano utakua hapatoshi
Sabrina
Wako vizuri
Nasra
Wapo vzuri
Lydia Emmanuel Magoti
Wapo vizuri kwenye mchezo watenes wanajua
Angelina
Itakuwa hatari sana
Dorophina
Pongezi kwao
Tumaini kasalile
Wako vizuri
Mwanahamisi
Wote ni wakali
Sadick
Baada ya kutimuliwa US open sasa amehamishia nguvu zake ITALIAN OPEN#meridianbettz
Adelta
Pongezi kwao wapo vizuri@meridianbettz
aisha
Nadal ni lazima afanye maajabu
felister
mchuano mkali
Rehema
Good news
Khadija
Nawakubali sana#meridianbettz
Issa
Nadal ni kinara na ataburuza kama kawaida yake
Samiah
Gud
marry
wapaambne zaid
Saupha mohamed
Mambo moto
Amiri Kayera
Wachezaji wenye uwez mkubw kweny Tennis
farida ahmadi
Wapo vizuri
Rose kapinga
Mafundiii wanaonyesha uwezo!!
Fatuma kasomo
Gud news
Povel
Congrat nadal
caroline
hongera zaooo
Tatu
Mambo yanazidi kunoga
Mariam mtandama
Wote wapo vizur
Devotha
Mambo yanazidi kuwa mazuri
jullie
mnatupasha habari nzuri sana
Gabriel
Hatmaye wanaendeleza ubingwa
Janeflora malisa
🔥🔥
Neema
Pongezi kwao
Latifa juma mohamed
Makala bomba.
David Pere
Bingwa mtetezi – Rafael Nadal, amemfunga Dusan Lajovic kwa seti 6-1 6-3 na kutinga hatua ya robo fainali
warda
safi sana
Fatina mfigi
Safii
Shan
Djokvic mwamba sana kweny tenis