Tetesi zinasema baadhi ya wachezaji wa Real Madrid wanadai kuridhishwa na hatua ya kuondoka kwa mshambuliaji wa kimataifa wa Wales Gareth Bale kuhamia Tottenham kwa mkopo.
Tetesi zinasema Rennes wanakaribia kukubaliana na Chelsea katika dili lausajili wa kipa wa kimataifa wa Senegal Edouard Mendy, 28.
Liverpool imeulizia uwezekano wa kumpata kwa mkopo winga wa Ufaransa na Barcelona Ousmane Dembele, 23.

Manchester United wameafikiana na Porto kumhusu beki wao Alex Telles and the 27- sasa kiungo huyo wa kimataifa wa Brazil anaweza kusaini mkataba wa miaka mitano na klabu hiyo.
United sasa wanahitaji kufanya hima kukamilisha mchakato wa usajili ili kumpata nyota huyo baada ya Paris St-Germain kujiondoa katika kinyang’anyiro cha kumsaka Telles.
Manchester City wanapania kumsajili beki wa kati na nyuma wa Sevilla Jules Kounde, 21.Hatua hiyo huenda ikamfanya mchezaji wa kimataifa wa Argentina Nicolas Otamendi, 32, kuhama City.

Mkufunzi wa Sheffield United Chris Wilder amesema klabu hiyo imefanya mazungumzo na Liverpool kuhusu uhamisho wa mshambuliaji Muingereza Rhian Brewster, 20 kwa mkopo.
Lakini Crystal Palace pia wanataka kumsajili Brewster kutoka kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England kwa mkataba wa kudumu.
Tetesi zinasema Leeds bado wana matumaini ya kumsajili kiungo wa kimataifa wa Argentina anayecheza safu ya kati Rodrigo de Paul, 26,kutoka Udinese.

Juventus wanataka kumsajili tena Moise Kean, 20, kutoka Everton wakati mshambuliaji huyo wa Italia akijikakamua kutulia Goodison Park tangu alipotua hapo msimu wa joto wa 2019.
Tetesi zinasema Arsenal, Leeds na Wolves wanamfuatilia kiungo wakati wa Reading mwenye umri wa miaka 18 Michael Olise.
SHINDA NA MERIDIANBET!
Tengeneza pesa kidijitali kwa kubashiri mbio za farasi hapa Meridianbet! Chagua nani ashinde, unakusanya mkwanja.


Dorophina
Liverpool washafulia mpaka wanamtaka dembele kwa mkopo
Ernest
Kumekucha kumekucha ndani ya Manchester Utopolo, Sancho sio tena habari ya Mjini huku Erling Braut Håland anafurahia uwepo wa wake ndani ya Dortmund kwani unarahisisha zaidi kazi yake
Mwajumah
Liverpool mbona mnaanza kuzingua tena mnamtaka dembele kwa mkopo#Meridianbettz
Lydia Emmanuel Magoti
Nimefurai bale kuludi kwenye timu yake iliyo mpa eshima kuitumikia tena
Povel
Nice information
Zeiyana
Bale hamamua maamuzi sahii ukiangalia pale Real Madrid akuna inshu tena
caroline
kumbe wamefurahi Bale kuondoka
Sauda
Liverpool wanatakiwa kujipanga sana tu..
Elika
Liverpool bado sana kufulia..wanamtaka huyo mchezaji ili kuongeza kanguvu kidogo
Nasra
Liverpool awatumii nguvu nyingi
Sadick
Man Utd wanatakiwa kuajiri kocha sio kusajiri wachezaji#meridianbettz
Adelta
Liverpool waongeze juhudi@meridianbettz@meridianbettz
felister
duh sio poa
Rose kapinga
Bale Karibu nyumbani!!
Devotha
Taarifa nzuri
Rehema
Eeeh bwanae sio poa
jullie
good news
Angelina
Goodupdate
Gabriel
Nice update 👍
aisha
United inabid wasajil sio walete maneno tu watu wataka ubingwa
Janeflora malisa
🔥🔥
Khadija
Livepool saiz hawana jipya#meridianbettz
Hopemwaikuka
Axante kwa mambo moto ya michexo
Issa
Sehem sahih kwa bale
Amiri Kayera
Nimependa habar ya Balle kulud Totenham
Saupha mohamed
Good news
Asia Abdy
Safi sana
Neema
Liverpool nguvu ya ziada inahitajika
Latifa juma mohamed
Thanks for new updates.
caroline
united nao wanazidi kutuangusha sana sisi mashabiki wao
magdalena
united nao wanazidi kutuangusha sana sisi mashabiki wao
David Pere
Kumekucha kumekucha ndani ya Manchester United, Sancho sio tena habari ya Mjini huku Erling Braut Håland anafurahia uwepo wa wake ndani ya Dortmund kwani unarahisisha zaidi kazi yake
warda
zilikuwa poa sana hizi tetesi
Fatina mfigi
Safii
Shan
Sancho angejiunga na United ingekua safi
Sabrina
Madrid walimchoka kweli Bale
Samiah
Safi