Mchezaji wa zamani wa Italia Luca Toni amedai kuwa mkufunzi mpya wa Juventus Andrea Pirlo alikuwa na bahati nzuri ya kusimamiwa na kati ya makocha bora zaidi. KWa mtazao wake anamuona Pirlo ni kama Pep Guardiola kuliko Antonio Conte.
Kiungo huyu wa zamani, alistaafu baada ya baada ya kutofanya vyema sana kule Hellas Verona mnamo 2016. Staa huyu wa zamani amecheza na Pirlo katika vilabu vyote na timu ya taifa.

Katika kulelezea mtazao wake juu ya majukumu mapya aliyouapata mwanatimu mwenzake wa zamani, alielezea kutokana na uzoefu na namna anavyomfahamu Andrea Pirlo.
Toni anaona kama Pirlo anaweza kufanana kwa mbinu na meneja wa Manchester City bwana Pep Guardiola kuliko kocha wa Inter Milan bwana Antonio Conte.
Akimzungumzia Andrea Pirlo “Kwa tabia, ni kama Pep,” Toni aliiambia Tuttosport.” na akisisitiza kuwa Antonio alimfurahisha kwa kipindi cha miaka mitatu alichokuwepo Juventus
“Lakini katika suala la usimamizi wa timu, alikuwa na bahati nzuri ya kuweza kufundishwa na makocha wawili bora: [Carlo] Ancelotti na [Max] Allegri.”
“Uzoefu wote utakuwa muhimu, lakini mwisho, atakuwa yeye mwenyewe. Atakuwa Pirlo na ataenda kwa namna yake pekee. Bila kujifanya au kuiga mtu yeyote.”
Umekuwa mteja muaminifu wa meridianbet? Kuna zawadi kibao hadi 5% ya pesa yako inarejeshwa kwako. Kila wiki unaweza kurudishiwa mpaka Tsh 250,000.


Sadick
Maneno matupu hayavunji mfupa, tusubiri kuona vitendo uwanjani kama tutaona Pep mwingine wa SERIE A#meridianbettz
Neema juma
Afanyee maajabu tuonee sasa
Rehema
Ngoja tuone matokeo
Mwanahamisi
Asante kwa taarifa
Janeflora malisa
Tusubir vitendo
Shafii
Wengi tunasubili kazi yake tuiyone maana gurdiola hadi saivi kashauthibitishia ulimwengu kwa mafanikio makubwa aliyo yapata akiwa mwalimu sasa kwa pirlo bado anasafari ndefu kwenye kazi yake ya ukocha.
Adelta
Mashabiki tumekaa mkao wa kula
Kazi kwenu sasa@meridianbettz
Issa
Pirlo kupewa juve ni kama yupo nyumbani nafikir kwa uzoefu alionao kwa wachezaji atamudu
Tatu
Ngoja tuone
Sylvester
Pirlo inawezekana alikua mchezaji mzuri ila kwenye Ukocha akawa tofauti,ila kwa sababu mpira upo kwenye damu basi nina imani atawaongoza Juve vizuri endapo watampa fursa ya kuwasajili wachezaji anaowataka
felister
tunasubiria kuona matokeo
Furahav
Ngoja aje tuone itakuaje hapo juve.
Gabriel
Kwa upande wangu namkubal sana pirlo maana ni kocha mzur sana maana Safar ya mpira Alikuwa kwenye kikosi cha Milan kilichoshinda mataji mawili ya Serie A, vikombe viwili vya Ligi ya Klabu Bingwa Ulaya na Kombe la Dunia la Klabu kati ya 2003 na 2011, na kisha akachangia sana ushindi wa Juventus wa ligi mara nne kati ya 2012 na 2015.
Alihamia New York kabla ya kuanza kwa msimu wa MLS wa mwaka 2015 na kujiunga na kiungo wa kati wa zamani wa England Frank Lampard ana mshambuliaji wa zamani wa Uhispania David Villa katika klabu hiyo inayomilikiwa na Manchester City.
Alisaidia klabu hiyo ambayo mkufunzi wake ni Patrick Vieira kufika mechi za muondoano kutafuta bingwa misimu miwili iliyopita, lakini hakuweza kushinda vikombe akiwa nao
Hivyo anauzoefu mkubwa sana me naamin n kocha ambaye atafanya vzur sana
rama
Maoni:mhhh ngoja tuone
Khadija
Afanye maajabu tuone#meridianbettz
Salma ngende
Tunasubiri matokeo
Lydia Emmanuel Magoti
Afanye majabu tuone
Sauda
Tunasubiri maajabu
Ester jackson
Sisi mashabiki hatutaki maneno mengi tunataka vitendo
aisha
Tunasubili kuona matokea
Antony Luseno
Ni mapema mno kumsifia anahitaji muda
Hope mwaikuka
Sawa yetu macho
Ernest
Acha tumpe Andrea Pirlo wakati tuone maajabu yake au ndo ataangukia pua na yeye
Devotha
Uwe kocha bora apo juventus
Sabrina
Tunasubiri tuone mabadiriko
Genia Sikaluzwe
Tunasubili tuone matokeo
Povel
Mawazo yake ngoj tuone msimu ujao
lombo
asante meridianbet kwa habar moto moto
MnonganeJR
Kiungo fundi! Ongeza zake kuteuliwa kuwa kocha wa Juventus
Natumaini atafanya vizuri#meridianbettz
farida ahmadi
Yuko sahihi kabisah
Theonestina
Sawa
Saupha mohamed
Tusubili matokeo
Latifa juma mohamed
Ngoja tuone yanayoajiri.
David Pere
Ni mapema mno kimfananisha na pep maana hata mechi moja bado
Dorophina
Si yetu macho tu tunasubilia kuona vitendo tu
Rose kapinga
Maneno mbali,vitendo vitendo mbali!!!
warda
Ni maoni yake lakini#Meridianbettz
magdalena
tunasubiri tuone
Mwajumah
Tunasubili matokeo#Meridianbettz
Caroline
Duh naona mnampamba
Zeiyana
Ni mtazamo wake ila hatuwezi kumlinganisha gurdiola na pirlo kwa sababu gurdiola hadi sasa ameuthibitishia ulimwengu kwa mafanikio makubwa aliyo yapata kwenye soka la miguu akiwa kama mwalimu lakini tukienda kwa upande wa pirlo ndo kwanza kinda katika career ya soka akiwa kama mwalimu anamda mwingi wa kujifunza na anasafari ndefu sana kuja kufikia mafanikio ya pep gurdiola.
Nasra
Pep yupo juu Sana huwezi mlinganisha na Pirlo
Leonard
Pirlo bado
Omary lukumbi
Hatuwez kutoa sifa au takwim mzr kwa sasa sabab kazi bado kuanza
Samiah
Bado Pirlo