United Hawaajaanza Leo Kumfukuzia Sancho

Mashetani wekundu hawajaanza leo kubamba kwa taarifa za kuiwinda saini ya Jadon Sancho. Mwezi Machi mwaka jana, waligonga vichwa vya habari kuwa kwenye mpango kabambe wa kumwaga pesa kumnasa nyota huyo wa Borussiaa Dortmund.

Ripoti zinataja kuwa hadi leo hii, Man United wamekuwa wakikutana na vikwazo kumnasa nyota huyu aliyeripotiwa kuwa na thamani ya paundi milioni 100.

Kwa sasa dau lake linatarajiwa kushuka kwenye soko la sasa baada ya Corona japokuwa Dortmund wanaonekana kuwa wagumu kiasi kwa hilo.

Man U walitaka kumnunua staa huyu mwaka 2017 kutokea Manchester City. Manchester City walikataa ofa yao na kuamua kumuuza kwa Dortmund kwa £8m.

Ni ndani ya miaka mitatu tu, ada thamani ya staa huyu imeendelea kupanda. Staa huyu amekuwa ni ‘levo’ zingine kabisa kwa sasa, tofauti na alivyokuwa anauzwa na City.

Katika dirisha hili la uhamisho, Man United walitarajia ushindani kutoka kwa Chelsea. Lakini baada ya Chelsea kuonekana akihamishia kipaumbele chake kwa Hakim Ziyech na Timo Werner, United wanahisi ahueni, lakini bado kuna wasi wasi kama uhamisho utakamilika.

 


Hakuna uhaba wa mechi za kubashiri Meridianbet!Bashiri Esporsts

CHEZA PES2020 HAPA

46 Komentara

    Sancho anajielewa na ndio maana anawindwa sana

    Jibu

    sancho hana thamani ya zaid pauni milion 50

    Jibu

    Kwani mnakwama wapi na nyie man united

    Jibu

    Ukiona ivyo thaman yake ishashuka Hana mashiko ndo sababu kubwa iyo

    Jibu

    sasa man u kama walishindwa kumpata mwaka jana wataweza kumpata kweli asa ivi thamani yake imepanda…?

    Jibu

    Mmmh jamaa mbona hana bahati na ikiwa dau lake dogo

    Jibu

    Maskini hana bahati

    Jibu

    Asante kwa makala mzuri meridianbet

    Jibu

    Hizo ni mbinu tu mawakala kupandisha thamani ya mchezaji #meridianbettz

    Jibu

    Apo ndo man united ndo uwa inafeli kama hela ipo wakate mzizi wa fitina wamsajili

    Jibu

    Bora apate nafasi Manchester #Meridianbettz

    Jibu

    sancho hana thamani ya zaid pauni milion 50 nikijana mdogo anayejua Nini anafanya uwanjani

    Jibu

    Man u hawana hela

    Jibu

    Duuuuh Sancho anajielewa Sana ndiyo maana anawindwa

    Jibu

    Sancho mchezaji mahiri wapandishe dau hlo..

    Jibu

    Inabidi waongeze bidii ili wampate huyu dogo ni mchezaji nzuri sanaa

    Jibu

    Wazidi kupambana watafanikiwa kumpata

    Jibu

    Wapambane tu watafanikiwa

    Jibu

    Penye nia

    Jibu

    Bado hawana kitu man u

    Jibu

    Sancho mtu hatari,bora tu aende man

    Jibu

    Sancho ni mchezaji mzuri lazima wamfukuzie#meridianbet

    Jibu

    Sancho talent player.#meridianbettz

    Jibu

    Pesa ndo inaongea siku hizi hakuna maneno maneno kwenye soka

    Jibu

    Wapambane tu watampataa

    Jibu

    sancho mchezaji mzuri

    Jibu

    Wapambane tuu mafanikio watayaona

    Jibu

    Sancho Ni mchezaji mzuri lkn hajafikia thamani ya hiyo pesa

    Jibu

    Sancho yupo vzr sana

    Jibu

    Wanakwama wap sas

    Jibu

    Waweke mzigo wa kutosha mezani watampata tu

    Jibu

    Wakazane kuweka mzigo watampata

    Jibu

    Talent player

    Jibu

    Sancho yupo vizur Sana uwanjani

    Jibu

    Man u mnakwama WAP??

    Jibu

    Sancho yuko vizuri sana

    Jibu

    Sancho mchezaji mzuri

    Jibu

    Sancho fundi

    Jibu

    Waingereza wanawavalue sana wachezaji wao sasa bei hiyo naona inawapa shida united

    Jibu

    Waweke kitita tu mezan hakuna kinachoshindika

    Jibu

    Sancho yupo vizuri

    Jibu

    Sancho Yuko vizuri ndio maana anapendwa sana

    Jibu

    Wana kwama wapi sasa

    Jibu

    Yuko vizuri.

    Jibu

    Sancho ni noma sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.