Mkataba wa Kabaso Chongo na TP Mazembe Bado Haujaeleweka

Beki wa Kimataifa wa Zambia πŸ‡ΏπŸ‡², Kabaso Chongo alikuwa na mkutano na Mwenyekiti wa Klabu yake ya TP Mazembe, Moise Katumbi kwen mazungumzo yaliyo zua utata na sintofahamu kwa mashabiki wa Mazembe na wapenzi wa soka la Afrika.

Katika Mazungumzo Beki huyo wa Chipolopolo aliambiwa ana mkataba na Klabu yake ya TP Mazembe ambao utaendelea hadi Disemba 2023. Mchezaji huyo ambaye yupo na Mazembe tangu 2014, alikuwa Akijua anamaliza Mkataba wake klabuni hapo Disemba mwaka huu 2020 ambapo alianza Mazungumzo na klabu nyingine.

Mnamo 2018, Kabaso Chongo aliongeza mkataba wake na TP Mazembe kwa miaka miwili na Klabu hiyo ilitangaza kwamba Mkataba mpya utaisha mwishoni mwa 2020. Kwa kushangaza mlinzi ameambiwa kandarasi yake inaendesha hadi 2023 na sasa kumekuwa na kutokuelewana kati yake na klabu.

Wadau wengi wa soka wamekua na maswali na hasa kutaka kujua jee Huo mkataba unaishia mwaka 2020 ni upi? na unaomtaka aendelee ni upi?, Vyombo vya habari nchini Kongo bado havijaripoti kama kuna muafaka uliofikiwa au Suluhu ya mkanganyiko huo.

49 Komentara

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Waelewane tu

    Jibu

    Duuh kama vipi waelewane tuu ili waepushe migogoro na mambo mengine yaende

    Jibu

    Kama vip waendelee waache migogoro

    Jibu

    Asanteni meridian kwa makala nzuri za michezo

    Jibu

    Asante kwa taarifa

    Jibu

    ina maana uyo mchezaji alisaini mkataba wake bila kujua utaisha lini au anajishaulisha…?

    Jibu

    Maadam ameonana na boss Katumbi natumai hamna kilichoharibika mambo yamewekwa sawa

    Jibu

    Asante meridian kwa taarifa

    Jibu

    Anapaswa aelewane tu migogoro sio mizuri

    Jibu

    Bonge la makala meridianbet

    Jibu

    Kwer hiyo ni sintofahamu

    Jibu

    daaaaa!!! wafanye waelewani mambo yaishe bila ugonvi

    Jibu

    Wafanye waelewane mambo yaishe bila ubishi##meridianbettz

    Jibu

    Duh uswahili huo! Nilifikiri mambo yapo Bongo kumbe hadi huko!!!#meridianbettz

    Jibu

    Maisha yanweza yakawa magumu kwake.maana anaishi paspo makubaliano ya mkataba Sasa kweli akiwa uwanjani atacheza mpira au atafikiria kuhusu kupewa mkataba mpya

    Jibu

    Inamaana alisajiriwa bila ya mkataba

    Jibu

    Asanteni kwa taarifa #meridianbet

    Jibu

    Hii ndo tabu ya mameneja wa kiafrika upenda vitu vya haraka hata mikataba yao uwa haieleweki kabisa

    Jibu

    waelewane mambo yaishe bila ubishi kila kitu kitakua swa kama wataelewana

    Jibu

    Wakae chini wakubaliane yaishe

    Jibu

    Wache migogoro siyo mizuri

    Jibu

    jambo likishafika kwa katumbi ujue limekwisha

    Jibu

    Migogoro cyomizuri

    Jibu

    Watuweke wazi sisi ndio mashabiki wao

    Jibu

    Basi TP bado wanamtaka ndo mana mkataba umekuwa hauonekani

    Jibu

    Hii ndo tabu ya mameneja wa kiafrika

    Jibu

    Ahsante kwa taarifa

    Jibu

    Bado ni mchezaji muhimu sana pale tp mazembe .muda si mrefu Mambo yatakuwa sawa.#meridianbettz

    Jibu

    Vimbwanga katika soka ndo Hivi!!!!!!

    Jibu

    Wakae chini waelewane tu

    Jibu

    Migogolo sio mizuri

    Jibu

    Mambo magumu inabidi wakae wajadili vizuri

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Hilo ndo tatizo la mikataba ya kiafrica

    Jibu

    Tatizo ni Nini Sasa

    Jibu

    Maelewano ni kitu kizuri sana

    Jibu

    Wavute subra bado mchezaji mzuri

    Jibu

    Wasilete janja janja yao Kama bado wanampenda wamuongezee mkataba tu.aendelee kupiga mpira

    Jibu

    Hili ni tatzo kubwa

    Jibu

    Mgogoro sio mzuri waelewane tu

    Jibu

    Waache migogoro mambo mengne yaendelee

    Jibu

    Sio mchezo

    Jibu

    Inatakiwa waelewane bila ya marumbano.

    Jibu

    kikubwa pesa maneno matupu haya saidii

    Jibu

    Utaeleweka tu

    Jibu

    Waelewane tu

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.