United Wakimbiza Orodha ya Vijana EPL

Wachezaji wanne wa klabu ya Manchester United wameingia kwenye orodha ya wachezaji vijana wanaowania tuzo ya mchezaji kijana bora wa mwaka wa Ligi Kuu ya Uingereza.

Wachezaji kama Marcus Rashford na Mason Greenwood wanaungana na Trent Alexander-Arnold kutoka Liverpool na Christian Pulisic wa Chelsea kwenye orodha hii fupi ya vijana waliofanya kazi nzuri kwa msimu.

Safu ya ushambuliaji ya Man United, Marcus Rashford, Anthony Martial na Mason Greenwood wote wameingia kwenye orodha hii. Kwa pamoja safu hii imeona nyavu zaidi ya mara 60 kwa m,ichuano yote wakati Menchester United wakifanikiwa kusalia kwenye nafasi ya tatu.

Trent Alexander Kufukuzana na Vijana wa United
Trent Alexander emekuwa na mchango mkubwa Liverpool. Anatazamwa kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutwaa tuzo hii.

Beki wa Liverpool, Trent Alexander-Arnold  ameingia tena kwenye orodha hii na anaonekana kuwa kwenye nafasi nzuri zaidi ya kutwaa tuzo hii. Hii inatokana na mchango wake mkubwa kwa Liverpool, na anaweza kuwa mchezaji wa kwanza kuichukua tuzo hii tangia alipoichukua Steven Gerrard mwaka 2002.

Mason Mount na Christian Pulisic pia wapo kwenye orodha hii kutokana na mchango wao pale Stamford Bridge. Jack Grealish pia ameingia kwenye orodha hii kutokana na mchango wake pale Aston Villa.


 

Tiketi yako ya kwanza kamwe haiwezi kupoteza ukiwa na Meridianbet. Unarudishiwa 100% ya Tiketi yako ya kwanza.

Ingia mchezoni

34 Komentara

    Hii ni habari nzuri sana

    Jibu

    man united wanastahili pongezi Sana hii inaonesha wana msingi mzuri wa kuja kuwa na kikosi bora cha baadae ila inapaswa wawape nafasi kubwa makinda hao waje kufanya makubwa baadae.

    Jibu

    Vijana wapewe nafasi nzuri ili wafanye matukio mazuri

    Jibu

    Hii ni habari njema sana kwa vijana kuwania tuzo km iyo lkn hapo natamn rashford awe mbabe wao#Meridianbettz

    Jibu

    Vijana na Liverpool wananafasi kubwa kutwaa tuzo

    Jibu

    Habari njema
    #meridianbettz

    Jibu

    Man u wana vijana wazuri sana na wanaujuzi wa hali ya juu watachukua tu tunzo

    Jibu

    Gud news

    Jibu

    Vijana wa livepool wana nafasi kubwa#meridianbettz

    Jibu

    Ni kweli man Chester uted kuna makinda wanao jituma sana ni vizuri uwongozi wao wangewapa nafsi kubwa ili watumie uwezo wao

    Jibu

    Hongera sana.mjitaidi mzipate izo tuzo

    Jibu

    Trent Alexander-Arnold anasitahili kushinda amekuwa na assist nyingi #meridianbettz

    Jibu

    Habari njema

    Jibu

    Club ya liverpool naona inavinana ambao wanaweza kwenda huko

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Man kwa msimu huu wamejitahidi sana wanastahili pongezi

    Jibu

    habari njema

    Jibu

    Liverpool wanaweza kutwaa taji karibia zote za EPL

    Jibu

    liver wana nafasi kubwa kutwaa tuzo hizo

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Man u wapo poa wameimarika

    Jibu

    Safi sana 👍

    Jibu

    Safiiii Sana Manchester United

    Jibu

    Good news

    Jibu

    Wanawekez Sana kwenye vijana

    Jibu

    Habari nzuri

    Jibu

    Pale Man U wachezaji vijana wapo wengi sanaa

    Jibu

    Habari njema Sana

    Jibu

    Pongezi man u kwa kikosi cha badae ambacho kinaonyesha kitaleta mapinduzi ya badae

    Jibu

    Nice

    Jibu

    Hongera yao wajitahidi waipate united

    Jibu

    Nice news

    Jibu

    Ndo mana sasa hivi wako poa sana

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.