United Wana Mpango Gani na David Carmo?

Klabu ya Manchester United inahusishwa na saini ya nyota wa Sporting Braga, David Carmo.

Kwa mujibu wa taarifa nyepesi nyepesi ni kuwa beki huyu wa kati, ambaye amekuwa akifananishwa na yota wa Liverpool, Virgil van Dijk amewavutia klabu ya Man United na wako tayari kuchanja naye mbuga kuinasa saini yake.

United Wana Mpango Gani na David Carmo?
David Carmo anafananishwa na Virgil van Dijk

Hata hivyo, United wamekuwa wakihusishwa na mabeki kadhaa hivi karibuni na jina la kinda huyu wa miaka 21 ndiyo linaonekana kutupiwa jicho zaidi siku chache zilizopita.

Kuinasa saini ya nyota huyu inaonekana kuwa ni suala ambalo lina ushindani mkubwa sana, kutoka vilabu vingine vya EPL na pia kutoka kwa ligi zingine kubwa.

 


 

BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

23 Komentara

    David yuko vizuri sana aende tuu united akakipige

    Jibu

    United wamekuwah watu wa romance na interest za wachezaj mbali mbali katika dirisha la usajili ila ifikapo tamati mchezaj anakwend kusajili wa club nyngne ,about David Carmo united ya sasa. na pressure ya mashabik haihitaj mchezaj wakujaribu kwny kikos inabid wapate mchezaji anayewez kuingiah moja kwa moja kwny mfumo

    Jibu

    Namkubar Sana David

    Jibu

    Man u wanampango wa kutengeneza kikosi kizuri ila wanacho kifanya wao sio watekelezaji wa taarifa wanazozitoa kuu ya usajiri wao wangekua watu wa kutengeneza fununu tu

    Jibu

    Kijana anafaa kwa matumiz

    Jibu

    aende tu united akakiwashe

    Jibu

    Tatizo lao man u ni hapo tu hawana ukweli kuasiana na usajili ukiangalia bado wanaitaji wachezaji wengi mwenye uwezo mkubwa ili kurudisha timu yao kwenye ali ya ubora ila kwenye dilisha la usajili hawanonekani kabisa na wasipo hangalia msimu huu wanaweza kushuka dalaja zaidi ya hapo na kwapoteza mashabiki kabisa

    Jibu

    united waweke tu dau mezani kijana wanamchukua mbona

    Jibu

    David fundiii

    Jibu

    Namkubali san david

    Jibu

    Man u mjitahidi sasa kumsajili mapema sio mnaacha kumsajili ikifika mwishoe mnahamaki kwa kumkosa mchezaji

    Jibu

    Namkubali

    Jibu

    David yupo vizuri

    Jibu

    Utd wamchukue tu maana kikosi chao hakijaimarika bado

    Jibu

    Itakuwa bonge ladili Man U wakibatika kuinasa Saini yakiungo huyo itakuwa poa sana

    Jibu

    Man U changamkieni fursa..

    Jibu

    David jembe

    Jibu

    David jembe

    Jibu

    Asante kwa taarifa meridianbet

    Jibu

    Ni jesh huyo

    Jibu

    Tatizo lao man u ni hapo tu hawana ukweli kuasiana na usajili ukiangalia bado wanaitaji wachezaji wengi mwenye uwezo mkubwa ili kurudisha timu yao kwenye ali ya ubora ila kwenye dilisha la usajili hawanonekani kabisa na wasipo hangalia msimu huu wanaweza kushuka dalaja zaidi ya hapo na kwapoteza mashabiki kabisa

    Jibu

    United imchukue carmo mtu wa maajabu ndan

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.