"Bale Bado Hajapoteana" - Steve McManaman

Gareth Bale alirejea Tottenham baada ya miaka saba tangu alipoondoka kwa dau la euro milioni 85 kwenda Real Madrid. Akiwa Real Madrid alionekana kama amepoteza radha ya soka lake au “kupoteana” akitemwa mara kibao kwenye kikosi cha Zidane.

Wapo wadau ambao wameanza naye safari tena akiwa Spurs, wakiamini kuwa bado yuko kwenye chati na amekuwa akifanya kazi ya ziada kuthibitisha hilo, kuonesha kuwa Real walifanya makosa kumtema kwa staili ile.

Mpaka sasa, Bale amecheza mechi takribani 6 chini ya Jose Mourinho na tayari ameweza kuonesha kuwa bado “hajapoteana”, na wakatin akielekea kwenye Likizo ya Kimataifa ameweza kuthibitisha kuwa yeye ni sehemu muhimu ya Spurs kwa sasa, tayari kwa kuaminiwa na kupata mda wa kucheza wa mara kwa mara.

Gareth Bale

Steve McManaman -balozi wa La Liga Ansema haya kuhusu Bale

“Nadhani atakuwa na mchango mkubwa sana kwa sababu bado ‘hajapoteana’. Nafahamu alikuwa na majeraha machache kule Liverpool, lakini sio wakati wote alikuwa na majeraha -hakuwa akicheza tu. Nafikiri yupo tayari, na ana vitu vingi vya kuthibitisha.

Hata hivyo, kwa mujibu wa ripoti, Real Madrid bado wanatarajia Gareth Bale kuwa sehemu yao. Unafikiri staa huyu bado ana mapenzi na Real Madrid?


 

BASHIRI UKIWA MAHALI POPOTE!

Hauhitaji kuwaza linapokuja suala la ubashiri na odds kubwa. Bashiri na Meridianbet ukiwa popote ufurahie ushindi mkubwa katika michezo mbalimbali na hadi milioni 16 kwenye michezo ya kasino.

Meridianbet Beti Popote

INGIA MCHEZONI!

22 Komentara

    Bale yuko vizuri sana

    Jibu

    Bale bado yupo vzr hanaweZ kupambana shida chini ya zidane alikuwah hapati nafasi ya kucheza mara kwa mara kwny kikos cha zidane nakufany kiwango chake kipoteeh mm naiman chini ya mourinho Kama watampa nafasi ya kucheza michezo mbali mbali natumain anawez kurejea kwny ubora wake tuliomzoeah wa kipind kile bale wa spurs na madrid

    Jibu

    Namkubar Sana bale.jesh la mtu mmoja

    Jibu

    Gareth bale namkubali sana jamaa anajua alafu anatekiniki za kimpira

    Jibu

    Am not sure with this

    Jibu

    Bale yupo vizuri sana kama mourhno hatampa nafasi nzuri kikosini hapo tutayaona mengi makubwa kutoka kwake

    Jibu

    bale anajua nini anachofanya

    Jibu

    bale kiwango chake kimpira bado kipo tu vizuri nina imani wakati bado upo wa kuonesha maajabu yake

    Jibu

    Namkubali sana bale

    Jibu

    Real Madrid muache tamaa sasa mumemuona bale yuko vizuri mnamuhitaji ikiwa hamkumpa nafasi kwenye kikosi cheno sana kocha Jose Wa Tottenham amemuweka imara mnamtaka tena

    Jibu

    Bale yuko vizuri

    Jibu

    Bale fundi

    Jibu

    Bale bado yupo vizuri sana na naimani hivi karibuni atatuthibitishia hiloo ndani spurs

    Jibu

    Bale yupo vizuri Sana namkubali kiungo huyo anajua kila anacho kifanya kwenye soka lake

    Jibu

    Bale bado yupo vizuri sana

    Jibu

    Bale baba lao

    Jibu

    Bale jembe

    Jibu

    Anajua anachokifanya

    Jibu

    Anajitambua kwa kila hatua

    Jibu

    Real Madrid muache tamaa sasa mumemuona bale yuko vizuri mnamuhitaji ikiwa hamkumpa nafasi kwenye kikosi cheno sana kocha Jose Wa Tottenham amemuweka imara mnamtaka tena

    Jibu

    Gareth bale anasubir kustaafu tu

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.