Klabu ya Valencia inatajwa kuwa inajaribu kumrejesha Cristiano Piccini ambaye yupo Atalanta kwa mkopo.
Taarifa zinataja kuwa Atalanta wapo tayari kusitisha mkataba wa mkopo wa staa huyu mwenye miaka 28 katika msimu huu wa baridi.
Nyota huyu wa upande wa kulia aliwasili Bergamo msimu uliopita lakini amekuwa akipata changamoto ya majeraha tangia aliporejea Serie A.

Atalanta walimsajili kwa dili la mkopo kukiwa na kipengele cha kumnunua, lakini taarifa zinasema sasa wapo tayari kumuacha arejee Valencia. Licha ya kuwa Valencia bado hawajafanya uamuzi kamili, wameomba kupewa mda wa kufanya tathmini.
Nyota huyu anaweza kurejea Hispania, lakini klabu inafikiria kumtafutia klabu nyingine zaidi katika dirisha hili hili. Mpaka sasa, Piccini amecheza mechi moja tu ya Serie A msimu huu.
MERIDIANBET INAKUPA NAFASI YA KUWA MILIONEA KWA KILA BAADA YA DAKIKA 5
Mchezo wa Keno unakupatia fursa ya kuibuka kidedea kupitia droo zinazochezwa kila baada ya dakika 5 tu!! Tunaposema Meridianbet ni nyumba ya mabingwa, tunamaanisha!!



Issa
Rudi nyumban
David Pere
Nyota huyu anaweza kurejea Hispania, lakini klabu inafikiria kumtafutia klabu nyingine zaidi katika dirisha hili hili. Mpaka sasa, Piccini amecheza mechi moja tu ya Serie A msimu huu
Angelina
Goodnews
Lydia Emmanuel Magoti
Vizuri sana
felister
habari njema
Sania
Rudi nyumbani kumenoga
Magdalena
Watakuwa wamefanya Jambo la busara kumrejesha
Hopemwaikuka
Jambo zur
Caroline
Asante kwa taarifa
Flomena
Atalanta walimsajili kwa dili la mkopo kukiwa na kipengele cha kumnunua, lakini taarifa zinasema sasa wapo tayari kumuacha arejee Valencia.
Ernest Kimeru
Mambo sio mambo kwa Cristiano Piccini
Sarah
Rudi nyumbani
Dorophina
Watakuwa wamefanya vizuri sana
Samira
Habari njema nzuri hii
Rahmal
Rudi nyumban kumepamba moto
warda
Hongera yake