Pep Guardiola ana wasiwasi kuwa Sergio Aguero anaweza kuikosa sehemu yote ya msimu iliyobakia baada ya kupata jeraha la goti.
Mshambuliaji huyu wa Manchester City ni mmoja ya wanaopigiwa upatu wa kutwaa Kiatu cha Dhahabu msimu huu, lakini hili linaweza kumkwamisha.
Aguero yupo nyuma kwa magoli matatu tu dhidi ya Jamie Vardy katika kufukuzia Kiatu cha pili cha dhahabu.
Aguero alipata jeraha la goti kwenye mechi ya Manchester City dhidi ya Burnley. Tangia alipopata taarifa hizo, Guardiola alionekana kuwa na simanzi.

Wakati akitoa taarifa kwa waandishi wa hanari, Bosi huyu wa City alisema kuwa ilikuwa ni taarifa mbaya. Na alisema kuwa Aguero amekuwa akipambana na shida ya goti kwa miezi kadhaa, hivyo kwa sasa hali siyo nzuri.
Taarifa zinasema kuwa anatarajiwa kuikosa mechi dhidi ya Chelsea Alhamisi. Guardiola anasema ana wasi wasi kama anaweza kukosa msimu mzima, lakini madaktari wanaweza kuzungumzia hilo vyema zaidi. Ni matumaini yake hali itakuwa si mbaya sana.
Kwa sasa Sergio Aguero ndiye anaongoza kwa magoli Man City katika michuano yote akiwa na magoli 23, na magoli 16 ya ligi pekee, magoli mawili zaidi ya Raheem Sterling.


warda
Daaaa pole yake Sidhani Kama Atapata kiatu cha Dhahabu#Meridianbettz
Neema juma
Kutokana na majibu ya madaktari wanavyosema kuwa hali yake imeanza kukaa sawa.inawezekana akacheza
Njiku
Staa huyo wa argentina ndio mfungaji wa klabu ya manchester city mara zote na kuwania kiatu cha dhahabu ila msimu huu kwake sio mzuri kwa majera aliyokuwa nayo staa huyo pole aguero pia pole nyingine kukosa kiatu cha dhahabu maana jamie vardy ndio furaha yake wwe kuwa nje kwenye game zilizo salia
isha
Jamani pole sana kaka lakini pia usijali afya ndio kitu cha msingi
Issa
aguero majeraha yanamuandama sana guardiola inabidi ahakikishe madaktari wanamuweka sawa aweze kucheza msimu mzima
Ester jackson
Pole sana ilikuwa mda wako mzuri sana wa kumalizia mechi zilizo baki sasa wamepata nafasi watu wengine pole sana
Caroline
Asiwe na wasiwasi atapona tu
David Pere
Hawawezi kutetereka hata Kama watamkosa aguero wachezaji wengine wapo
Mwanaidi
Afya ni bora kuliko kitu chochote
Lydia Emmanuel Magoti
Nanavyo mkubali sijui itakuwaje
Latifa juma mohamed
Aguero pole yke Sana, inabid akae benchi kwa msimu huku madaktar wakiendelea kuchek afy yke.
Antony Luseno
Apa anayefukuzana naye katika kuwania kiatu cha dhahabu ndo muda wa kufanya mapinduzi
Povel
Kun Sergio aguero polen sn tukutane next season thnks meridian bet tz kwa update
Zeiyana
Aguero ni mchezaji mzuri ila kwa man city wanakikosi kipana haitakua tatizo sana
Gabriel
Ni jambo la kusikitisha sana kwa kiungo huyo kwan kupata jeraha kwake kumekuwa mtihan mkubwa sana kwa club yake na like mfanya pepe guardiola awe na huzun sana kwa mshambuliaji wake na kutammfanya sterling achukue kiatu ila club ya man city pia haitokuwa sawa kutokana na kumkosa aguero mechi ijayo kwa upande wng naona watakuwa na kibarua kigumu kwan aguero n mshambuliaji mzur sana had muda huu ana magol 23 hivyo anachokiz guardiola yuko sahihi
# meridianBetTZ
Genia Sikaluzwe
Pole ila ucijali utapona
Isaya massawe
Lazima awe na hofu maana ni mchezaji tegemezi
felister
Mimi ninakuombea upone haraka aguero kiatu tukichukue
Samiah
Aguero pole ila ucjali utapona
Dorophina
Pole yake atapona
Omary lukumbi
Pep guardiola anajua umuhimu wa sergio aguero maana sio kwa kuumia na kukosa kiatu tuu hata makali ya safu ya ushambuliaji itapungua ukalibu na kama kweli msimu huu uliobak atakua nje basi ndio muda wa jamie vardy kufanya yake ila kwa staa huyu wa argentina mkwe wa maradona ni mchezaj mkali sana pale epl na n mfungaji wa man city wa misimu yote pale Etihad sasa pia na umri unaanza kumtupa mkono sasa pep bdio muda wa kuanza kuwa kuweka iman kwa kina gabriel jesus na kuwapika vya kutosha
Furahav
Duuh majanga
Magdalena
Tatizo ilo tayari ila anaefukuzana nae atapata tu
Christa
Lakini majibu ya daktari yanaleta matumaini
Ester mmakasa
Maskini mungu ampiganie ili apone na maisha mengine yaendelee.
Nasra
Namkubali sana
Sabrina
Maoni: Duuuh pole sana Sergio Aguero
Salma
Yupo sahihi lakini wajipe moyo
Adelta
Pole yake
Asijali afya Ni kila kitu mpira upo tu
Neema hassan
Asante kwa taarifa
fatumakasomo
Polee
Hope mwaikuka
Mungu akusaidie upone haraka
Amani
Changamoto za mpira huja pale mchezaji anapo pata amajeraha now Pepe Ana shida kwenye timu yake kukosa mchezaji muhimu
# meridianBetTZ
Asia Abdy
Pole sana
Tahiya
Ni pengo la man city
Amiri Kayera
Dah ni habar mbaya Kwa mashabik wa city pia kwake maan yamezma ndoto za yeye kuja kuwa mfungaji bola
Shafii
Litakua pengo kubwa Sana kwa man city
tumaini
Maoni:pole yake jamani
Edgar
hizo ni changoto to za mpira wengine wapo
Cathe
Man City chama kubwa
Hamidu
Kwa man city ni mchezaji muhimu Kama watamkosa itakuwapengo kubwa sana
Mwajuma
Duh majanga
Theckla
Atakaa sawa tu
Theonestina
Pole sana.atakuwa sawa tu
mwakalosi
sidhani kama ataweza kurudi mapema maana madaktari hawajayoa report kamili na itabidi asafiri hadi jiji la barcelona kupata matibabu
Khadija
pole sana atakaa sawa tuu#meridianbettz
Rehema
Aisee majanga
Saupha mohamed
Atapona tu asijali..
Leonard
Habari mbaya kwa man city
Mwanahamisi
Atakaa sawa tuu
Elika
Hakika atapona na atakuwa sawa tuuu..kama ipo ipo tuuu kiatu atakipata vizuri
Evaluziga
Asiwe na waswas atapona
Devotha
Atapona na atafanya kazi yake asijali sana Pep
Mariam mtandama
Duuuh
farida ahmadi
Dah inasikitisha Sana lakini gardiola asikate tamaa kabisah kwani hatapata tyuu mchezaji mzuri Sana hivyo afya ni kitu muhimu Sana kuondoka kwa Aguero sio kwamba ndio mwisho wa Manchester city hivyo asikate tamaa pengo lake litazibwa tyuu
Sadick
Pamoja na Aguero kuumia bado Man City wana mbadala,pengo lake halitaathiri timu#meridianbettz
Agness
Asante kwa taarifa
Angelina
Sad news
Emmy cleopa
Pole Sana Ila ahsante kwa taarifa
Fatina mfingi
Asiwe na wasi was mungu hatamfanyia wepes