Wilshere Kufanya Mazoezi na Arsenal.

Kocha wa Arsenal, Mikel Arteta amethibitisha klabu hiyo kuanza kufanya mazoezi na swahiba wake, Jack Wilshere.

Wilshere anarejea Arsenal kama mchezaji huru baada ya kuachana na Bournemouth. Japokuwa, kurejea kwa Jack haimaanishi klabu hiyo itamsajili. Badala yake, kiungo huyo amepewa nafasi ya kuendelea kujiweka imara akiwa na kikosi cha The Gunners kwenye mazoezi ya timu hiyo.

Arteta amenukuliwa akisema “tupo tayari kumsaidia (Jack) kwa chochote ambacho tunakiweza. Analijua hilo na hiyo ndiyo hali halisi”


MKWANJA NJE NJE NA DISCO FUNK

Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!

tetesi, Tetesi za Soka Barani Ulaya., Meridianbet

CHEZA HAPA

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.