Antoine Griezmann hakuwa na mwanzo rahisi katika msimu wake baadaya kupata joto la mashabiki wa Atletico baada ya kurejea akitokea Barcelona.

Griezmann alirejea katika klabu yake ya zamani ya Atletico Madrid akitokea Barcelona kwa mkopo lakini hakuagwa vizuri wala kukaribishwa vizuri ndani ya Madrid.
“Giezmann anachangamoto kubwa sababu ya kile kilichotokea hapo nyuma,” alisema kocha wa Atletico Madrid Diego Simeon.
Baada ya Lionel Messi kuondoka Barcelona mashabiki na klabu walitarajia makubwa kutoka kwa Mfaransa lakini kiwango kibovu alichokionyesha kwenye mchezo dhidi ya Getafe, Mashabiki wa Barcelona walimzomea sababu analipwa mshahara mkubwa.
Pia hata baada ya kutua Atletico Madrid akiwa uwanjani kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa dhidi ya Porto Griezmann alipigiwa miluzi na kuzomewa na mashabiki wa Atletico kwa kushindwa kuonyesha kiwango kizuri.
Unaanzaje siku yako na kuimaliza bila kupitia katika kasino bomba za meridianbettz, mchezo mashuhuri wa Disco Funk unaweza kukufanya uwe mshindi leo hii.!


