Makala nyingine

Zinedine Zidane amerejea klabuni Real Madrid siku kadhaa zilizopita baada klabu hiyo kuwa na wakati mgumu huu na kufanya maamuzi ya kumtimua aliyekuwa meneja wa klabu hiyo Santiago Solari. Zidane …

Debi kati ya Inter Milan na AC Milan inayofahamika kwa jina la Derby della Madonnina imevunja rekodi ya Serie A kwa kuwa debi ambayo imeingiza pato kubwa zaidi. Debi hii …

Wolverhampton Vs Manchester United Wikiendi Hii! Manchester United bado hawajaridhika baada ya kichapo cha kwanza walichokipokea wakiwa chini ya meneja wao wa mda bwana Ole Gunnar Solskjaer. Wanasafiri kumfuata Wolverhampton …

  Huku ligi ya Uingereza ikiwa inaelekea mwishoni mwa mashindano yake, huku kila timu ikijaribu kupigana kujua itamaliza ikiwa nafasi ipi na nyingine zikijiandaa kushuka katika ligi yao, lakini vurugu …

Mnyama Atafunwa!

  Baada ya kuwa na mfululizo wa matokeo mazuri ndani ya ligi na baadhi ya mechi za kimataifa klabu ya Simba imekubali kupokea kichapo kingine mbele ya Waalgeria, J. S. …

  Mario Balotelli ameweka wazi kuwa anataka kuendelea kusalia Marseille hata baada ya msimu huu kuisha akisisitiza kuwa klabu hiyo ipo lrvo nyingine ukifnanaisha na Nice. Balloteli alichapa jumla ya …

  Msemo unaotaja kuwa wanawake wakiwezeshwa wanaweza unaanza kupotea, msisitizo unawekwa katika usawa kwa jinsia zote mbili! Adidas hawako nyuma. Jitihada za kusisitiza na kutetea usawa katika nyanja zote za …

  Kwa mujibu wa meneja Pep Guardiola, Manchester city haiwezi kuwekwa kwenye levo za Real Madrid Barcelona au Bayern Munich ambao tayari wameshafikia sehemu fulani ya mafanikio. Pep Guardiola ambaye …

  Miongoni mwa wachezaji ambao wameweza kujijengea heshima kubwa sana katika soka ni Ibrahimovic kutokana na kuyaishi maisha yake halisi katika ubora, uwezo na hata kutumia mbinu zake zote kuzipaisha …

  Kwa takwimu zinazoishi, mpira wa miguu ni mchezo ambao unafuatiliwa sana duniani iwe ni kwa kuangaliwa au kuwa na mashabiki wengi. Ni mchezo ambao unafuatiliwa na zaidi ya watu …

Bosi Jurgen Klopp anasema kuwa Liverpool wanapaswa kuwa na mawazo chanya, wanapaswa wafurahie wakiwa wanawafukuzia Manchester City. Watata hawa baada ya kutoa sare kwenye gemu 4 za Ligi wamejikuta wakiwa …

Gemu ya Ligi ya Mabingwa Ulaya ya PSG dhidi ya Manchester United ilikuwa kali na kuacha matokeo ya kihistoria yaliyokuwa na nafuu kwa Manchester United chini ya Ole Gunnar Solskjaer. …

Viwanja Bora Duniani

  Soka sio tu mchezo wa kushindanisha timu mbili uwanjani, pia linaendana na uwekezaji katika viwanja ambavyo mara nyingi huwa ni kivutio kikubwa cha mashabiki; pia huchochea wachezaji kucheza kwa …

  Aliyekuwa mchezaji wa Manchester United Marouane Fellain ametangaza kustaafu soka la kimataifa. Mwanasoka huyu ameweka wazi kuwa kwa sasa hatakuwa mchezaji wa kimataifa wa Belgium. Staa huyu alikamilisha usajili …

  Ligi ya Uingereza inaendelea kusuka pesa za kutosha kwa sasa huku ikiendelea kuwalipa wachezaji wake vizuri ili kuwavuta waendelee kukaa katika vikosi vyao na kutoa huduma stahiki. Dili mbalimbali …

1 2 3 489 490 491 492 493 494