Polisi Wamng'ang'ania Metacha

BAADA ya Metacha Mnata kutambulishwa na Singida Big Stars, Uongozi wa Polisi Tanzania umefunguka kuwa kipa huyo bado ana mkataba wa mwaka mmoja na klabu hiyo.
Metacha alitambulishwa na klabu ya Singida Big Stars hivi karibuni kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Polisi Tanzania.
polisi
Akizungumzia jambo hilo, Katibu Mkuu wa Polisi Tanzania, Michael Mtebene amesema kuwa “Tumeshangaa kutambulishwa kwa Metacha na klabu ya Singida Big Stars.
“Metacha bado ni mchezaji wetu na tuna mkataba naye wa mwaka mmoja kwani wakati anasaini kwetu msimu uliopita alisaini miaka miwili hivyo taratibu mbalimbali tutazifuata.”

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.