Bado kuna dana dana katika maamuzi ya lini haswa Ligi Kuu ya Uingereza itarejea. Mpango na mapendekezo ya wengi ni kurejea mapema Juni, au kabla lakini mpaka sasa mpango huu unaonekana hauwezi kutekelezeka. Klabu za za EPL zinafanya kikao maalumu Jumatatu hii kujadili zaidi.
Mpango wa awali ulikuwa ni kuanza michuano tena bila kuwa na mashabiki uwanjani, na kuhakikisha kila mchezaji, kocha na washirika wote wa uwanja ambao unatumika wanafanyiwa vipimo kwa ajili ya kuhakikisha usalama zaidi wa kila mtu.
Hata hivyo, serikali inatarajiwa kuruhusu mazoezi ya makundi ya wachezaji wachache jumatatu mapema wiki hii. Kwa sasa wachezaji wamelazimika kuendelea mazoezi binafsi. Waziri mkuu arisema kuwa Uingereza wanaruhusiwa kufanya michezo lakini ni kwa washirika wa familia tu.
Kuna mapendekezo ya kutumika kwa “Neutral Venues”, Viwanja vya wote kwa pamoja, sio kila mtu na kiwanja chake. Hata hivyo, mpango huu bado haujakubaliwa na vilabu vyote, na unaonekana kupingwa na karibia timu saba.
Kikao cha leo kinaonekana kupigwa hatua katika mazungumzo na mpango wa kuendeleza ligi. Katibu wa Utamaduni wa Uingereza anatarajiwa kuonana na viongozi wa soka Alhamisi. Hii ni sehemu ya ajenda muhimu.

Mpaka sasa EPL inaendelea kupata changamoto kadhaa. Mchezaji wa tatu wa Brighton amethibitika kuwa na maambukizi ya Corona, baada ya wawili kuripotiwa kuwa na maambukizi hayo awali.
Mpaka sasa mechi zilizo salia ni 92, na ili mechi zote ziendelee kwa mfumo unaopendekezwa wa kufuata taratibu zote za kitaalamu za kiafya itawagharimu karibu vipimo 40,000, kiasi cha kama paundi 30,000 kwa wiki.
Klabu ya Ulaya kwa ujumla zina hadi tarehe 25 kuwasilisha kwa Uefa kama wanahitaji kumalizia msimu au kusitisha kama walivyofanya League 1. Mkurugenzi mkuu wa EPL Richard Masters alitabiri hasara ya tabribani paundi bilioni 1 ikiwa msimu wa Ligi 2019-20 hautamalizika.


Swai
Daaa wafanye maamuzi mapema wadau tumemiss kuwaona
Hopemwaikux
Mashabik tunawasubr kwa hamu kaz ni kwao tu
hamidu
tunasubili. burudani ya soka…nategemea waingereza mambo yote yatakuwa sawa
Lombo
tumemic haya mambo
Frank Patrick
Ila epl vikwazo kibao nao aaaanhh🤨🤨
SADICK
Wapenzi wa soka tutafurahi EPL ikirejea. Asante#meridianbettz kutujuza
David Pere
Wanasubili nini Sasa waache ianze tu
Adelta
Wapenzi wa soka watafurah sana
Lydia Emmanuel Magoti
Mashabiki tunasubili kwahamu
Rehema Dickson
Iyo itakua nzuri sanaaa
Tatu
Nimess hicho kitu
Ester mmakasa
Mungu saidia corona iishe kabisa ili tuuendelee kupata raha ya soka letu.
Salma
Habari nzuri
Theckla
EPL wana msimamo sana
mathayo sonje
ligi hii ipo hatalini kukatishwa maana kwa hizi danadana kunamashaka
Elika
EPL Bora ianze,sababu mashabiki tulisubiri kwa mda mrefu.hata hili janga la dunia litapita na kila kitu kitakuwa sawa
felister
tunasubiri kwa hamu
Antony Luseno
Wafanye maamuzi ili bingwa ananyuyue kwapa #Liverpool
Furahav
Bora irud liver achukue kombe lake.
aisha
E.p.L.irudi jamani wadau tumeimis sana
Njiku
Safiii hzo danadana ndio tunazozitaka sisi
Warda
Yaani Corona hii sina hamu nayo😭😭
Dorophina
Wapenz wa soka tutafurahi epl ikianza
Mariam
Asante kwa tarifa meridianbet
Povel
Wafanye maamuz haraka tumemic epl kuangaliah
Emnmy cleopa
Iyo itakuwa vizur sana ila Wafanye mahamuzi mapema
Fatina
Asnteh kwa taarifa
mwakalosi
hii hali inawaumiza kichwa sana wafanya maamuzi
Rehema
Mko poa sn meridianbet asnte kwa taarifa
Tahiya
Wafanye maamuz tyuu
Agness
Tunaisubiri na hili janga litapita
Isaya massawe
Wanazingua wakati watu tumemisi soka
nasra
EPL ina mambo mengi
Asha
Wafanye maamuz tumic sn epl kuangaliah
Daniel
Time for games to start #meridianbettz #meridianbet
Samiah
Tunasubiri gem
Neema hassan
Wafanye maamuzi mashabk tumemis kuwaona uwanjan..
Geniaskaluzwe8
Tunawangoja kwa hamu Sana
Mwajuma
Mungu asaidie mambo yarudi
Gabriel
Tunasubir
Ester jackson
Wafanye maamuzi mazuri tumewamiss mashabiki wenu
Amani
Tumemiss kuona kandanda warud mapema
Juliana
Mapema tu
Neema juma
Tunawangoja kwa hamuu sana
Sylvester
Mechi zinakaria kuanza tupate mtonyo #meridianbettz #meridianbet
Evaluziga
Tume miss Aya Mambo jaman