Ripoti ya mwisho inasema Mkude atakuwa nje kwa wiki mbili lakini kiungo huyo mkabaji anasubiri vipimo vingine ambayo vitatoa taswira ya yeye kurejea.
“Nitafanya vipimo vingine kufahamu kama naweza kurejea mazoezini na wenzangu hata kucheza mechi,” alisema Mkude.

“Vipimo vitaamua pia kama nitaendelea na mazoezi binafsi.”
Lakini pia amewaambia mashabiki wa klabu kuwa wasiwe na wasiwasi kukosekana kwake kwenye mechi za Simba katika mapambano ya kutetea Ligi Kuu Tanzania Bara na kutwaa Kombe la FA.
Simba itacheza dhidi ya Azam FC kwenye robo fainali ya Kombe la FA.


Issa
Simba isiwe na hofu juu ya mkude atalikava muda si mrefu
Neema juma
Waoooo hii ni habari njema kwa wana simba
Ernest
Simba wanapitia kipindi kigumu kumkosa Jonas Mkude katika mechi hizi muhimu.
isha
Mkude kaka safi sana tulikua tunakuombea sana mchezaji wetu
Shafii
Mko vizuri simba
Hamidu
Kiungo fundi! Jonas mkude hakuna kama wewe tanzania#meridianbettz
Amiri Kayera
Kiungo hatar
mwakalosi
kwa sasa hatuna matumiz nae aendelee na mapumziko
Povel
Get well soon 🙏🏼🙏🏼🙏🏼🙏🏼
Njiku
Kiungo huyo mshambuliaje jonas mkude anaekipiga katika timu ya simba ni nomaa hivyo kama atakosekana katika mechi ya na azam itakuwa game ngumu kwa ubaadhi wa simba maana tunajua shughuri ya mkude simba
Gabriel
Aache mbwembwe inabid atulie asikilize daktar jinsi atakavyomuambia maana afya n kitu Bora zaid maana kiungo Jonas mkude tunamtambua anacheza namba ngumu kuwe upaande wa utengenezaji inabid awe fiti sana ili kuwafurahisha mashabiki
# meridianbet
Sabrina
Maoni:Jonas mkude asiwe na wasiwasi atakaa sawa tu atarudi kukipiga muda sio mrefu.
Mwajuma
Bora alivyowatoa hofu maana simba bila mkude awajiamini kabisa
Omary lukumbi
Ujue kwa mashabiki wa simba mkude ni kipenz chao ndio maana taarifa za kuumwa na yuko nje wanachanganyikiwa sana
Leonard
Apone haraka
David Pere
Safi Sana jembe linarudi kazi itafanyika vizuri sasa
Tahiya
Afadhar Jonas Mkunde umetutoa hofu sisi mashabiki wako
Theckla
Namuombea apone haraka aje aokoe jahazi
fatumakasomo
Safi habar nzur kwa wanasimba
Hope mwaikuka
Ugua pole
Ester mmakasa
Pona kwanza mkude maana afya ndo kitu muhimu kwa binadamu ukizingatia na kazi yako ukiwa fiti ndo unapoweza kucheza vizuri.
Neema hassan
Mungu amponye arudi ulingon..
Aziza mushi
Namuombea aweze kupona haraka.
Frank Patrick
Fundi wa mpira apone haraka tuone burudani
Hilda
Kiungo anae jiamina
Mwanaidi
Safi sana mkude
Samiah
Mkude jembe hivyo tunamuimbea apone
farida ahmadi
Tunakusubiri kwa hamu mkude jembe letu get well soon
Johnmary joel
Habari nzuri hizi kwa mashabiki wa simba#meridianbett
warda
Tunashkuru kwa kutolewa ofu#Meridianbettz
Latifa juma mohamed
Mungu ataendelea kukupigania kiungo Bora mkabaji wanamsimbaz worry out
Magdalena
Kwa sisi mashabiki wa simba hatuna ofu kabisa na mkude wakati ukifika atarejea tu
Lydia Emmanuel Magoti
Safii Sana Simba
Genia Sikaluzwe
Imekaa poa sana
felister
ndo mjue Simba timu mbovu ina maana Simba inamtegemea mkude peke yake timu nzima…?
Caroline
Tunakusubiri uwanjani
Mariam mtandama
Simba muko vizur sana
Dorophina
Atakaa vizuri na atarejea kwenye hali yake
Zeiyana
Kiungo makini Jonas mkude..! Habari nzuri kwa mashabiki wa simba
Evaluziga
Kiungo hatari
Rehema
Ni kiungo hatari
Ester jackson
Asante meridian kwa habari
Furahav
Rudi uwaunganishe pale kati.
nasra
Asantee kwa taarifa
Adelta
Apone haraka aje aendelee kutupa Raha
Uwanjani
Salma
Aya ni furaha kwa mashabiki wa simba
Amani
Kiungo matata amabaye ajawaitokea eNzi izo #meridianbettz
Zuhura omary kindamba
Asante Meridianbet kwa taarifa tunaomba mungu mkude atarejea kwenye hali yako
Theonestina
Jonas mkude namkubar Sana jembe langu.njoo tuendelee kuwaliza watani zetu
Mwanahamisi
Asante kwa makala
Elika
Mungu amponye haraka na majeraha mkude arejee uwanjani,mashabiki tumemmis sana aisee
tumaini
Maoni:kwa washabiki wa simba hilo pengo kubwa sana
Khadija
Mungu amponye haraka mkude arejee uwanjani mashabiki wa simba tumemmis sana mkude#meridianbettz
Sadick
Ni mmoja ya wachezaji waliodumu muda mrefu Simba. Mechi ya Simba na Yanga iliyopita alicheza ovyo kiasi cha kusababisha faulo iliyopelekea goli#meridianbettz
Devotha
Hongera sana mkude utareja mazoezini soon
Angelina
Mkude yuko vizuri
Emmy cleopa
Ahsante kwa makala
Asia Abdy
Get well soon mkude