Kisa Waamuzi Azam Waiandikia Barua TFF

Klabu ya Azam FC inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara maarufu kama VPL, wameiandikia barua Bodi ya Ligi kuhusu kutokuridhishwa na mwenendo wa waamuzi kwenye mechi yao dhidi ya Young African FC.

Azam FC wamemtupia lawama mwamuzi wa Kati Heri Sasi pamoja na wasaidizi wake kuwa walishindwa kufanya maamuzi sahihi hivyo kushindwa kumudu mchezo.

Mechi Na: 300, Azam vs Young Africans, mwamuzi wa kati alikuwa Heri Sasi akisaidiwa na Soud Lila na Mbaraka Haule walionekana kukataa magoli mawili hali ya Azam ambayo kwa mujibu wa Line 1 na 2 waliona kama wachezaji wa Azam wameotea. Lakini pia walikataa penati halali ya Azam.

Mechi hiyo ilimalizika kwa sare ya 0-0 katika mchezo uliopigwa uwanja wa taifa jijini Dar es Salaam, na katika barua hiyi Azam wametaka waamuzi hao wachukuliwe hatua.

60 Komentara

    Ama kwa hakika refa halishindwa kumudu mchezo sijui ni kwa ukubwa wa mechi yenyew au ndio soka letu la bongo janja janja ni nyingi

    Jibu

    Ni kwl sheria ifuate mkondo wake kwa malalamiko ya azam kwn ukitazama mchezo unagundua waamuzi wamechezesha chn ya kiwango thnks meridian kwa update

    Jibu

    Waamuzii wengi katika ligi kuu hawana uelewa na taaluma yao hivyo uchangia katika utoaji wa maamuzi mabovu katika
    Mechi nyingi

    Jibu

    Refaree hakua fear kabisa

    Jibu

    Maoni:Haki yao kupeleka lawama waamuzi walichezesha mechi mpela mpela hawajazingatia sheria.

    Jibu

    Marefa wabongo ni shida tu! Game jana azam wamenyimwa goli halali kabisa tazizo ligi tz inahalibiwa unazi wa simba na yanga.,unaweza kushangaa yule ni shabiki wa yanga#meridianbettz

    Jibu

    Ni kwl ukitazama mchezo wa jana waamuzi walishndwa kufuata sheria za mpr wa miguu na kushndwa kabisa kumudu mchezo huo kwa sual hlo tff inabid wachukueh hatua kwa waamuzi hao thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    Hawana sera wanalikuwa wanataka zari Kama la man u muamuz alichezesha vzur na haki kabisa maamuz waliyofanya club ya azam n ya kukurupuka zaid

    Jibu

    Waamuzi walikuwa wapenzi wayanga nin

    Jibu

    Duuh iyo noma sana😁😁😁😁

    Jibu

    Duuh hawa nao inawezekan lakin muamuz alishindwa kuweka mambo sawa kashindwa kubalance mchezo

    Jibu

    Waamuzi wetu kweli wanaboronga sana

    Jibu

    Waamuzi wa kitanzania wanazingua Sana wakati mwingine, Lakini sio kosa Lao tatizo hawalipwi vizurii

    Jibu

    Waamuzi wengi wa kibongo wanazinguaga sana

    Jibu

    Inawezekana lakini maamuzi alishindwa kuweka mambo sawa

    Jibu

    Dah

    Jibu

    Lakini si ndo mpira sasa kwann wafikie kote uko jamani?

    Jibu

    Lazima Sheria ichukuliwe dhidi yao

    Jibu

    Marefa wa bongo hamna kitu kabisa.

    Jibu

    Bongo ndo tunapofeli mwamuzi analeta ushabiki kwenye mchezo au muda mwingine unawezakuta kapewa mshiko
    #meridianbettz

    Jibu

    yaani shamba la bwana heri mbuzi wa bwana heri na kesi unampelekea bwana heri tff ni jipu tena jipu la tambaza linalorudisha maendeleo nyuma ya mpira bongo

    Jibu

    Kiukweli refa hakufanya sahihi…ndo Moira wa bongo mizinguo

    Jibu

    Bongo bado sana

    Jibu

    Refa unakwama wapiiii tuambizane

    Jibu

    Mech ilikuwa kubwa refa kashindwa kumudu mchezo

    Jibu

    Viongozi wanazingua

    Jibu

    Waamuzi wa kibongo Bado Sana mechi ilikuwa kubwa tyuu refa ameshindwa kuamua hivyo lazima TFF wapewe barua

    Jibu

    Wawahite waulizwe kwann limetokea hili hili wajirekebishe ila Azam ni washind wapili#meridianbett

    Jibu

    Kwa maelezo hayo basi waamuzi walikuwa wanaipendelea yanga#Meridianbettz

    Jibu

    Inavyoonyesha waamuz ni wengi , na pia wanashindwa kutambua taaluma yao, labda wanatumia experience tu ktk kutoa final hwan ujuz na nafas hiyo, hivyo bac wanajikuta wanafeli ktk kutoa maamuz

    Jibu

    Kweli waamuzi hawakuitendea haki timu ya azam

    Jibu

    Safii Sana Azam wakomalien hao wahamuzi wamuz wakibongo nishida sana

    Jibu

    siwezi sema chochote sababu iyo mechi sikubahatika kuingalia

    Jibu

    Hatari Sana

    Jibu

    Wanapendeleaaaa

    Jibu

    Duuuh

    Jibu

    Tff waangalie hikiwezekana waamuzi wachukuliwe hatua

    Jibu

    Mbona muamuzi alikuwa sahihi azam wanataka kitonga

    Jibu

    Inaonekana waamuzi wamewabeba watani zangu

    Jibu

    Duuh! Hii ni hatari

    Jibu

    Katika game hii Yanga wamebebwa dhahiri

    Jibu

    Huo ndio Mpira wabongo kuingia uwanjani na matokeo na marefa kuwa na timu na mashabiki kuwa marefa kawaida tu

    Jibu

    Daah wafungiwe tu.

    Jibu

    No Sana

    Jibu

    Hii Ni hatari
    Cha muhimu waache kupendelea

    Jibu

    Duh!

    Jibu

    Ligi ya Tanzania Ina makando makando mengi akuna haki kabisa#meridianbettz

    Jibu

    Acheni malalamiko pigeni kabumbu

    Jibu

    Duu atalii

    Jibu

    Duuh

    Jibu

    Kiukweli ile mechi haikuwa na sahihi mwamuzi kufanya vile..au alipewa rushwa..mashabiki tujue tuu

    Jibu

    Daaah waangalie ikiwezekana wamchukulie hatua#meridianbettz

    Jibu

    Achukuliwe hatua refarii maana atazoea anatakiwa afate sheria ya mpira na usiangalie jina la timu

    Jibu

    Azam ilinyimwa ushindi kwa makosa ya marefa, ingawa TFF imekuwa ikitoa adhabu mara kwa mara kwa waamuzi lakini bado hakuna matokeo chanya#meridianbettz

    Jibu

    Waamuzi wa mechi kati ya Yanga na Azam walitakiwa kupewa adhabu kwa kuonyesha mapungufu ya hali ya juu.

    Jibu

    Duuuh hii hatari

    Jibu

    Waamuzi wetu sio waaminifu hili ni lakukemea

    Jibu

    Duuuh! Hatari ila wamependelea

    Jibu

    Sio fair

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.