Matteo Guendouzi Hata Adhibiwa kwa Kosa la Kumkaba Neal Maupay

Kiungo wa klabu ya Arsenal Matteo Guendouzi hatakabiliwa na hatua yoyote baada ya tukio lililomshirikisha yeye na mchezaji wa Brighton, Neal Maupay kwenye mchezo wa PL kati ya timu zao huku The Gunners ikipoteza Siku ya Jumamosi.

Tukio hilo lilitokea baada ya filimbi ya mwisho Jumamosi, ndipo Guendouzi alipoonekana kumpiga kabali ya shingo Maupay. Maupay alifunga bao dakika za mwisho wakifanya comeback na kupata ushindi wa 2-1 ukiwa ndio ushindi wao wa kwanza wa mwaka 2020.

Hapo awali kwenye mchezo huo, mfungaji huyo wa goli la ushindi kwa Brighton alimchezea faulo kipa wa Arsenal Bernd Leno wakati wa kuwania mpira angani, na kipa huyo wa Ujerumani alitolewa ya kucheza dakika 36 tu kwa maumivu yaliyoonekana kuwa ni jeraha la goti baya.

Kwa mujibu wa mtandao wa Goal Bernd 28 Leno anaweza kubaki nnje kwa zaidi ya miezi 12 “Jeraha lake limehusisha tatizo la Goti la mguu wake wa kushotona Linaweza kudumu kwa miezi 12” hayo yalisemwa daktari wa klabu hiyo.

 

57 Komentara

    Kwa iyo hana kosa au.?

    Jibu

    Ahsant meridian kwa taarifa

    Jibu

    Asante meridianbet #kwa taarifa

    Jibu

    Duu kwaiyo atazibiwa au raha

    Jibu

    Apewe adhabu inayolingan na kosa alilotend isizid uwezo

    Jibu

    Pole sana maupay ajali kazni..! Mungu hatakusaidia utarudi kwenye ali yako

    Jibu

    ata sijaelewa apo kwaiyo hatoadhibiwa kwanini wakati amemkaba mwenzake

    Jibu

    Huo ni mchezo moupay ajari kazin hiyo

    Jibu

    Uyo lazima aazibiwe.kwanini alimkaba mwenzake.khaa

    Jibu

    Kaz kweli kweli

    Jibu

    Wasameane tu ajal kazi ni

    Jibu

    Arsenal kupoteza mchezo huu ilikuwa ni uzembe sana kwao

    Jibu

    Gundouzi alikasilika kwa kitendo alichofanya mauphy kumchezea faulo kipa wa arsenal na kutoka nje kwa machela iko wazi ndio maana game ilivyoisha ikabidi amfuate na kumshika shingoni kama kumkaba niasira za mchizi ila kitendo alichafanya gundouz sio kizuri licha ya maupay kucheza lafu mbaya

    Jibu

    Duuu Majeraha haya ishakuwa balaa!#Meridianbettz

    Jibu

    Wasameane tu

    Jibu

    Aadhibiwe tuu

    Jibu

    Aadhibiwe tu ili iwe fundisho kwa wachezaji wengine

    Jibu

    Anasitahili adhabu uyo

    Jibu

    Ni Jambo zuri kumsameje maana hasira ilimzidi sana

    Jibu

    Duh ni habar mbaya kwake na mashabiki wake Kama adhabu itamkutah thnks meridian bet kwa update

    Jibu

    Anastahili adhabu

    Jibu

    Ni habar ya kusikitisha sana kwa wapenz wa arsenal kwa pande zote mbili Kwanza kumkosa leno golikipa ambaye anaweza kukaa nje kwa mwaka mzima hivyo n pengo kubwa sana mashabiki wa arsenal pia na kuangalia adhabu ya Matteo guendouzi si ya haki kabisa astahili kupewa adhabu yoyote
    # meridianBetTZ

    Jibu

    Apewe haki yake,mana mpira ni mchezo wa amani.

    Jibu

    Apewe adhabu kdg

    Jibu

    Matteo guendouzi alifanya kosa hata kama ni hasira ilibidi apate adhabu yoyote ile juu ya kitendo alicho fanya kwa mchezaj mwenzie mwamuz alikuwepo na ndio anae angalia matatizo yote hayo uwanjan kusema kweli alifanya kwa hasira sabab ya kufanyiwa dhambi kipa wao ila si jambo jema kumbana mtu

    Jibu

    Pole kwake hiyo ni kama ajali tu

    Jibu

    Anastahili kusamehewa

    Jibu

    Anastahili adhabu sheria ifatwe

    Jibu

    Katika mchezo mambo kama hayo huwa yanatokea ni kama bahati mbaya.

    Jibu

    Ni habari mbaya sana kwa mashabiki Ila Neal alifanya kosala kumchezea fauli na pia aliye Fanya kosa zaidi la kukusudia ni Matteo mana yeye kwa sabubu ya maumivu aliuyo chezewa rafu nakwenda kumkaba mwezake ni kosa ila kwa sababu kabati ya nidhamu imesema hataadhibiwa kwa kosa la kumkaba Neal basi tunatakiwa kuangalia mambo mengine

    Jibu

    Apewe adhabu Kali iwe fundisho kwa wengine..

    Jibu

    Maoni:Anastahili adhabu akumfanyia vizur mwenzie

    Jibu

    Matteo guendouzi alifanya kosa hata kama ni hasira ilibidi apate adhabu yoyote ile juu ya kitendo alicho fanya kwa mchezaj mwenzie mwamuz alikuwepo na ndio anae angalia matatizo yote uwanjani# meridianbettz

    Jibu

    Dah alicheza faulo mbaya sana

    Jibu

    Arsenal Hali mbaya kwao

    Jibu

    atajilekebisha wampe mdaa

    Jibu

    Asante kwa taarifa# meridianbettz

    Jibu

    Matteo guendouzi alifanya kosa hata kama ni hasira hakupaswa kutoa hukumu# meridianbe

    Jibu

    Adhibiwe ili iwefundisho kwa wengine

    Jibu

    Anastahili adhabu

    Jibu

    arsenal wana matatizo nayeye anataka kuleta tatizo kama pacha luiz😂😂😂😂

    Jibu

    Apewe adhabu

    Jibu

    Apewe adhabu tuu ili isijiludie kwa wanjlgine

    Jibu

    Ni vizuri kupewa adhabu ili iwe funzo

    Jibu

    Anastahili kusamehewa

    Jibu

    Arsenal hawana jipya hao..wameshindwa cha kufanya wanaanza kukosoa wenye makosa sasa

    Jibu

    Katika mchezo mambo kama hayo yanatokea ni bahati mbaya#meridianbettz

    Jibu

    “Hata adhibiwa kwa kosa la kumkaba” inamaana hajafanya kosa yupo sawa kisababisha majeraha kwa Leno

    Jibu

    Matteo hana kawaida ya ugomvi zilikuwa hasira za kufungwa#meridianbettz

    Jibu

    Guendouzi hakuwa muungwana hasa kama mchezaji

    Jibu

    Ingawa amemkosea kweli mwenzie ila haya mambo hua yanatokea kwenye michezo

    Jibu

    Hii haiko sawa aadhibiwe tu

    Jibu

    Apewe adhabu

    Jibu

    Anastahil adhabu

    Jibu

    Guendouz lazima apewe adhabu na sheria ifate mkondo wake

    Jibu

Acha ujumbe

Meridianbet
Privacy Overview

This website uses cookies so that we can provide you with the best user experience possible. Cookie information is stored in your browser and performs functions such as recognising you when you return to our website and helping our team to understand which sections of the website you find most interesting and useful.